Penzi Lyrics by HARMONIZE


Nawaza kwa nini sikumjuaga zamani,oh mama,
 pendo lake zito mpaka lavunja mizani,oh mama
yeye na mimi kachoo nisharuka nyie oh mama,
wasiojua mapenzi pole jamani,
ati alikuwa bachelor ,aibu gani,

aliyeumba dunia akayaumba na mapenzi,
wala hakukosea,ila mwezenu mi siwezi,
nilishapenda ila nikatendwa,
moyo ulidunda maskini roho,
mbona nilikonda licha ya kuhonga,
kuweka viwanda nishaomba poo,

mwenzangu bado hujajua,baki unicheke,
kwako yamechanua,ngoja yanyauke,
 (raymond)
andazi si kitumbua acha mapepe,
ukipendwa tanua ,kwa nini nisideke?

jamani nimependa mi,nimependa mi,
nimependa mi nataka nimweke ndani,
mwenzako ,nimetendwa mie ,nimetendwa mie,
nimetendwa mi,mapenzi siyatamani, x2

maana mapenzi ya bara kayachanganya na pwani,
vipi nitajinasua,ameumbika sina budi nisifie,
akipika natamani nilipie ,sehemu ya ubaga uliweka kiwembe,
ndio maana mwasi ,akaona ajijenge,
wewe kwako sikia,(sikia mwana),
ila kwako utalia ,(utalia sana),
pili nilikuwaga fundi,fundi zaidi yako

Watch Video

About Penzi

Album : Penzi (Single)
Release Year : 2016
Copyright : ©2016
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 09 , 2020

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl