My Boo Remix Lyrics by HARMONIZE


Aah tunaanza upya sasa
Hahaha, just beginning
Chilli, Konde Boy
Yaani Chilla na Konde Boy

Aaah, 
Mola anakupa astahili
Hakupi unachotaka 
Ndio maana nimetulia
Nakukabidhi mtima

Naridhi kifungu mbili
Kukosa nakupata
We unanivumilia
Ata nikiwa sina

Mi najua wapo
Walosema hunifai
Eti hatuendani 
Wanajichosha na kujipa taabu

Oooh wapo walosema
Umetoka na maasai 
Tena hadharani wakapotosha 
Umedu na mwarabu

Ila mi ndo nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Sing'oki kisiki

Oooh nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Aki sing'oki kisiki, msijipe taabu

My boo, my boo, my boo 
Oooh lala lalala  my boo 
My boo, my boo, my boo
Oooh lala lala my boo  

Hawapendi kuniona na wewe 
Eti nimekaa nimechill na wewe
Wanatamani niwe nimekwisha
Ooh lalalala wakuchukue kabisa(Eeeh)

(Hahaha, Love is sweet oh)

Ah! Nyie mafundi wa kuchamba
Mnafanya kazi ya kanisa
Ridhiki haivutwi kwa kamba
Na wa kumi hapatagi tisa

Mwenzenu fundi wa kulamba
Tena anameza kabisa
Sio kama najigamba
Ila mbali ninamfikisha eeh

Ndio maana
Ananiganda ganda kama pochi
Ananiganda(Ndio maana)
Nampanda panda kama kochi 
Nampanda

Mi najua wapo
Walosema we hunifai
Eti hatuendani
Wanajichosha na kujipa taabu

Oooh wapo walosema
Umetoka na maasai 
Tena hadharani wakapotosha 
Umedu na mwarabu

Ila mi ndo nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Sing'oki kisiki

Oooh nishapenda, nishapenda
Sioni sisikii
Siku zinakwenda, zinakwenda
Aki sing'oki kisiki, msijipe taabu

My boo, my boo, my boo
Oooh lala lalala my boo 
My boo, my boo, my boo
Oooh lala lala my boo 

Hawapendi kuniona na wewe 
Eti nimekaa nimechill na wewe
Wanatamani niwe nimekwisha
Ooh lalalala wakuchukue kabisa(Eeeh)

Zuzuzu, zunguka waone
Zuzuzu, zunguka waone
Yii, asa zungusha body
Zuzuzu, zunguka waone

Kwani unadaiwa kodi? 
Zuzuzu, zunguka waone
Oooh lele, Konde Boy

Ananiganda ganda kama pochi
Ananiganda(Ndio maana)
Nampanda panda kama kochi 
Nampanda

Ooh my God its Spencer

Watch Video

About My Boo Remix

Album : The Return of Chilla (EP)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2018 WCB WASAFI
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 23 , 2019

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 1 )

.
Riziki nash 2019-10-21 19:19:40

Harmonize I believe your job ,keep doing like that don't give up I know some people that can do something wrong about you but don't worry, life is too short. did the job respect each other and then the rest I can say thank you for your good job. All the time I enjoy your music.



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl