Tunakuinua Lyrics by GUARDIAN ANGEL


Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Duniani na mbinguni we ndo bwana wa mabwana
Alpha na Omega we ndo mwanzo tena mwisho
Ndani ya maisha yangu 
Bwana we unatawala

Tumakuinua juu
Kwa hali ngumu na kwa magonjwa
Tunakuinua Baba wewe peke yako
Kwa hali ngumu na kwa magonjwa
Tunakuinua Baba wewe peke yako

Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Malaika Mbinguni wanakuinamia wewe Yesu
Na sisi duniani tunakuinua juu
Wewe ni maji ya uzima 
Unatuliza kiu yangu Yesu

Tena mkate wa uzima unashibisha 
Haja za moyo wangu Bwana
Simba wa kabila la Yudah
Unapigana vita vya wana wako eee
Daktari wa madaktari
Unaponya magonjwa yote bwana oo

Wewe ni maji ya uzima 
Unatuliza kiu yangu Yesu
Tena mkate wa uzima unashibisha 
Haja za moyo wangu Bwana
Simba wa kabila la Yudah

Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Tunakuinua juu
Wewe ni Bwana wa mabwana Yesu wee
Tunakuinua juu Yesu wee

Watch Video

About Tunakuinua

Album : Tunakuinua (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 17 , 2020

More GUARDIAN ANGEL Lyrics

GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl