Samehe Lyrics by GOODLUCK GOZBERT


Umekaa mwenyewe tu, unawaza na kuwazua
Mwili ukonde wenzako wanatanua aah
Ona huyo eeh, ndani imepotea eeh
Bora usonge maana muda unapotea eeh

Wewe si wa kwanza aliyekutenda eeh
Vile uko na uzima shukuru muumba eeh
Mwingine si alisema ukimsaidia ana moyo
Mbona ni mapema yabadilikia machoni pako

Umejua tenda wema, tenda wema nenda
Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha

Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Vile kama buko uusitose achilia bwana

Basi samehe, samehe, samehe samehe
Basi samehe, samehe, samehe samehe

Wabaya ni wao, shetani anasingiziwa sana 
Ndani yao, amechagua kuamua mwenyewe
Wabaya wapo, wapo tena wanasikia raha
Mungu yuko, yuko shetani ---

Na mwingine si alisema
Ukimsaidia ana moyo
Mbona ni mapema
Kabadilikia machoni pako 

Umejua tenda wema, tenda wema nenda
Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha

Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Vile kama buko uusitose achilia bwana

Basi samehe, samehe, samehe samehe
Basi samehe, samehe, samehe samehe

Watch Video

About Samehe

Album : Kampeni (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 02 , 2021

More GOODLUCK GOZBERT Lyrics

GOODLUCK GOZBERT
GOODLUCK GOZBERT
GOODLUCK GOZBERT
GOODLUCK GOZBERT

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl