Ipo Siku Lyrics by GOODLUCK GOZBERT


 

Hummm aiyaya aah
Ni mbali nimetoka tena ni ajabu kua hai
Maana nigeshakufaagaa
Ni mengi nimeonaa aah
Tena ya kuvunja moyo
labda ningeshakuacha mungu uuh
Ohhh kama ni misongo ya mawazo maah
Nimepitiaa ninazoeaaa
Maumivu ya kudharauliwa umasikini
Kila sikuu mi najipa moyo ooh humm

Ipo siku yangu tu… Ipo si siku uuh
Ipo siku yangu tu nami
Ni ba ni ba nibarikikiwe
Ipo siku yangu tu… Ipo si siku uuh
Ipo siku yangu tu nami
Ni ba ni ba nibarikikiwe

Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Aah   nibari kiwe (nibarikiwe)
Oohh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Nibarikiwe ni ba ni ba (nibarikiwe)
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Aah   nibari kiwe (nibarikiwe)
Oohh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Nibarikiwe ni ba ni ba (nibarikiwe)
Ahh oohhuu naona aah huumm
Aiyayaya aiyaya aiyaya hummm

Ingawa kwa sasa wananisema
Vibaya nami sishangai najua
Ni ya wanadamu hay oohh
Ingawa sipati na nikwa
Muda mrefu siachi kuomba mungu
Si kiziwii binadamu
Wema ukiwa nacho ooh
Kwa sasa waniepuka sina rafiki wa dhatii
Oohh kama ni misongo ya mawazo
Magonjwa maa
Nimepitia nimezoe aah
Maumivu ya kudharauliwa umasikini kila sikuuu
Mi naipa moyo ooh humm

Ipo siku yangu tu… Ipo si siku uuh
Ipo siku yangu tu nami
Ni ba ni ba nibarikikiwe
Ipo siku yangu tu… Ipo si siku uuh
Ipo siku yangu tu nami
Ni ba ni ba nibarikikiwe

Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Aah   nibari kiwe (nibarikiwe)
Oohh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Nibarikiwe ni ba ni ba (nibarikiwe)
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Aah   nibari kiwe (nibarikiwe)
Oohh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Nibarikiwe ni ba ni ba (nibarikiwe)
Ahh oohhuu naona aah huumm
Aiyayaya aiyaya aiyaya hummm

Miaka imepita umeonba mtoto hupatii
Vuta subira maana yeye hachelewi iih
Ona biashara imeandamwa
Mikosi hupati usimwache
Mungu waganga watakuponza
Mpo kwa ndoa ila nyumbani Amani
Hakuna msimwache mungu
Mchepuko sio jibu
Umeugua tumaini la kupona
Hakuna usimtazame mwanadamu
Siku yako imekaribia aah
Yeyi iih najua aiyaya
Najua aiyaya
Najua aiyaya
Ipo ooh

Misukosuko ya ndoa (ni yang utu)
Mtoto anakusumbua (usiku uuh)
Giza likingia unawaza wapi utalala
Ni ba ni ba nibarikiwe
Masimango mashemeji ati huza mtoto
Masimango mama wa kambo
Umemchosha nyumbani

Usiwaze usiume najua yote yatapita
Siku imekaribia najua yote yatapita
Nawe ubarikiwe aah ubarikiwe
Nawe ubarikiwe
Nawe ubarikiwe aah ubarikiwe
Nawe ubarikiwe

 

Watch Video

About Ipo Siku

Album : Ipo Siku (Album)
Release Year : 2017
Added By : Afrika Lyrics
Published : Dec 14 , 2018

More GOODLUCK GOZBERT Lyrics

GOODLUCK GOZBERT
GOODLUCK GOZBERT
GOODLUCK GOZBERT
GOODLUCK GOZBERT

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl