GALATONE Mshenga cover image

Mshenga Lyrics

Mshenga Lyrics by GALATONE


Ewe mshenga nimekuja kwako mimi mnyonge galatix galaholela
Kuna binti nampenda sana bwana uwe kwangu kama umbrella
Nilimwahidi vitu vingi vingi sana kunisikiza ataki
Nilimwambia sina mali zaidi ya upendo nilicho nacho ni samaki
(Ntakupa samaki)
Yani kwanini nishiji vya ngali mahali nayo nisikize nisemacho mshenga
Ananiona mi poyoyo timanu akili nazo apo wapi nikasake wahenga
Purukushani aniamini awezekani (awezekani)
Uenda labda ni, ni majinuni nilisha acha zamani

Shenga, shenga kamwambie kwamba naumia roho naumia
(Naumia roho)
Shenga  kamwambie kwamba naumia roho naumia
(Naumia roho)
Nasema kamwambie kwamba naumia roho naumia
(Naumia roho)
Kamwambie kwamba mimi bado naumia roho naumia
(Naumia roho)

Nilimwambiaga zamani sana anae kupenda umjui
Aya mapenzi yalikuwepo zama na zama kuna maziwa na tui
Nilimwambiaga zamani sana anae kupenda umjui
Aya mapenzi yalikuwepo zama na zama kuna maziwa na tui
Ningempa anacho taka angekosa ningekopa ilimradi anikubalie
Moyo wangu umeshachoka amechora makopa mwambie anifikilie
Upendo umeniteka balaa mwambie mi nauguza jelaha
Kama barua Alisha leta mshenga mpaka sasa ata majibu aijazaa

Shenga, shenga kamwambie kwamba naumia roho naumia
(Naumia roho)
Shenga  kamwambie kwamba naumia roho naumia
(Naumia roho)
Nasema kamwambie kwamba naumia roho naumia
(Naumia roho)
Kamwambie kwamba mimi bado naumia roho naumia
(Naumia roho)

Kamuombe anipe (anielewe)
Nafasi nipate (niwe nae)
Tuandamane kote (sema nae)
Na nyuzi nizikate (anhaaa ah)
Kama shamba nimpe (anielewe)
Mikononi nimkumbate (niwe nae)
Kua nae kivyovyote (sema nae)
Waleo na siku zote

Galaholela, holela, holela holela

Watch Video

About Mshenga

Album : Mshenga (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Oct 26 , 2021

More GALATONE Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl