CALVIN JOHN Mfamaji cover image

Mfamaji Lyrics

Tanzanian gospel artist Calvin John has releases "Mfamaji" video off Life EP. &quo...

Mfamaji Lyrics by CALVIN JOHN


Oooh ulionyesha mwangaza 
Nilipokuwa kwenye giza
Sikuweza kuona macho yangu yalifunga
Nilitapa tapa kama mfa maji

Ukanifungua macho, ukanifungua moyo
Ukanionyesha yaliyo nizunguka
Kwamba kumbe nina maadui
Nina marafiki wengine wazuri
Na wengine wanafiki

Kilicho chema nitameza
Kilichokibaya nitatema
Umenionyesha eeh..

Umenifungua, macho
Sasa naona, naona
Umenifungua, macho
Sasa naona, naona

Sasa naona, naona
Mazuri mabaya yote, naona

Nikitazama kwa macho ya mwilini
Kuona sioni masikini
Mungu nifungue macho ya rohoni
Nione rafiki wa kweli

Shida yangu aibebe kama ya kwake
Kwenye raha taabu na madhaifu yote
Anifaae kwa dhiki huyo ndiye rafiki
Tena si wa kuhisi ni rafiki halisi

Asiye nikatia tamaa
Tena asiyenirudisha nyuma

Umenifungua, macho
Sasa naona, naona
Umenifungua, macho
Sasa naona, naona

Sasa naona, naona
Mazuri mabaya yote, naona
Sasa naona, naona
Sasa naona, naona

Hakuna siri iliyojificha
Sasa naona 
Hakuna siri chini ya jua

Watch Video

About Mfamaji

Album : Mfamaji (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Agripa Music.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 30 , 2020

More CALVIN JOHN Lyrics

CALVIN JOHN
CALVIN JOHN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl