FRESHLEY MWAMBURI Stella Wangu cover image

Stella Wangu Lyrics

Stella Wangu Lyrics by FRESHLEY MWAMBURI


Nilikua na mchumba wangu
Tulipendana kama chama choma
Alibahatika kwenda ngambo
Chuo kikuu kwenda kusoma
Miaka mitatu kule Japani
Kusomea udakitari, Stella wangu eeeh

Nilikua na mchumba wangu
Tulipendana kama chama choma
Alibahatika kwenda ngambo
Chuo kikuu kwenda kusoma
Miaka mitatu kule Japani
Kusomea udakitari, Stella wangu eeeh

Nilivyo mpenda Stella jamani
Kajitolea kwa roho moja
Nikauza shamba langu
Sababu yake yeye

Nikauza gari langu, sababu yake yeye
Nikauza Ng'ombe na mbuzi sababu yake yeye
Ili apate nauli yake
Na pesa nyngine za matumizi kule Japani

Ilikua tarehe kumi na saba mwezi wa tano
Ilikua tarehe kumi na saba mwezi wa tano
Ndiyo ilokua tarehe kamili ya Stella kurudi Kenya
Nilikwenda uwanja wa ndege kwenda kumlaki Stella

Nilikua na uncle Kilinda uwnaja wa ndege
Nilikua baziri mwa Kolomba na mkewe na watoto wake
Nilikua uncle Mshomba wa mdundonyike tuveluva
Nilikua na ndugu Afisi mtoto wa Mombasa

Ghafla ndege lipotua uwanajani tuliona vituko
Stella alishuka amebeba mtoto mkononi
Nyuma yake mchumba wake mfupi
Futii nne Mjapani

Nilisikitika ndani ya moyo
Nikakosa la kufanya 
Nilitamani nilie Kikamba lakini sikijui
Ilibidii nilie Kijaluo" angatima ngo wachoa", Freshley

Nilitamani nilie Kihindi lakini sikijui
Ilinibidi nilie Kitaita lugha ya mama na baba
Ilinibidi nilie Kitaiata
"Beke mwana niponyebanda, Freshley"

Nilikua na mchumba wangu
Tulipendana kama chama choma
Alibahatika kwenda ngambo
Chuo kikuu kwenda kusoma
Miaka mitatu kule Japani
Kusomea udakitari, Stella wangu eeeh

Nilikua na mchumba wangu
Tulipendana kama chama choma
Alibahatika kwenda ngambo
Chuo kikuu kwenda kusoma
Miaka mitatu kule Japani
Kusomea udakitari, Stella wangu eeeh

Nilivyo mpenda Stella jamani
Kajitolea kwa roho moja
Nikauza shamba langu
Sababu yake yeye

Nikauza gari langu, sababu yake yeye
Nikauza Ng'ombe na mbuzi sababu yake yeye
Ili apate nauli yake
Na pesa nyngine za matumizi kule Japani

Ilikua tarehe kumi na saba mwezi wa tano
Ilikua tarehe kumi na saba mwezi wa tano
Mwaka elfu moja tisamia tisaini na mbili
Ndiyo ilokua tarehe kamili ya Stella kurudi Kenya

Nilikwenda uwanja wa ndege kwenda kumlaki Stella
Nilikua na uncle Kilinda uwnaja wa ndege,
Nilikua baziri mwa Kolomba na mkewe na watoto wake
Nilikua uncle Mshomba wa mdundonyike tuveluva

Nilikua na ndugu Afisi mtoto wa Mombasa
Ghafla ndege lipotua uwanajani nliona vituko
Stella alishuka amebeba mtoto mikononi
Nyuma yake mchumba wake mfupi
Futii nee Mjaipani

Nilisikitika ndani ya moyo nikakosa la kufanya 
Nilitamani nilie Kikamba lakini si kijui
Ilibidii nilie Kijaluo "Angatima ngo wauchoa", Freshley

Nilitamani nilie Kiindi lakini si kijui
Ikanibidi nilie Kitaita lugha ya mama na baba
Ilinibidi nilie Kitaiata, "beke mwana niponyebanda, Freshley"

Iyooo, yoo, yoo, yoo
I love you Stella mami
Iyooo, yoo, yoo, yoo
I love you Stella mami

Come back, come back Stella 
I still need you baby
Nikwendetete nyama kuivivya 
Stella kindu wakwa

Nikwendetete nyama kuvivya
Ya kuvulania na kachumbari
Ukava kuvi nakwa Stella, linda unguune kisi
Ukava kuvi nakwa Stella linda unguune kisi

Nakupenda kama choma Stella mpenzi wangu
Nakupenda kama nyama choma Stella mpenzi wakwa
Ukava kuvi nakwa Stella linda unguune kisi
Nikwendetete nyama kuvivya
Ya kuvulania na kachumbari

Come back, come back Stella 
I still need you baby
Come back, come back Stella 
I still need you baby

Kwanini kunichenga chenga hivyo 
Stella kama mpira uwanjani
Kwanini kunichenga chenga hivyo 
Stella kama mpira uwanjani
Kwanini kunichenga chenga hivyo 
Stella kama mpira uwanjani

Watch Video

About Stella Wangu

Album : Stella Wangu (Single)
Release Year : 2010
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 29 , 2021

More FRESHLEY MWAMBURI Lyrics

FRESHLEY MWAMBURI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl