N'mekapitia Lyrics by TRIO MIO


Ahaa, Trio Mio
(Mavo on the Beat)

Nmekapitia, nmekaaa mgumu sina
And mama told me 
One day am gon be a superstar
Ni champagne we poppin mabombe kwa carpet
Mabouncer na walkie talkie, ni Trio hamna copy
Ni champagne we poppin mabombe kwa carpet
Mabouncer na walkie talkie, ni Trio manze

Kama kama kawa niko shughli 
Naambiwa siku njema huonekana asubuhi
Kusema watasema majority hawanijui
Na si ati najali sitambui
Najali napanja, mkwanja watanikanja
Kukanga najikanga banger after banger
Lazima wakisonga niko bumper to bumper

Chuma mi hukagonga kakiwaka kuwaka
Energy imeeazy, vibe iko simple
Enemy sipimi bad belle people
Jealousy kwa wingi eyes of the evil
Shawty ako na mimi na hivyo ndivyo iko

Kana uko na Gbag na hawa nguna madenge
Ka unajing'ura na mabuda tugembe
Kama tujinyc kama doba ni kwa tenje
Kwani tukivybe na mabana walenje

Na manguna madenge
Na mabuda na tugwembe
Kama doba ni kwa tenje
Na mabang'a walenje

Nmekapitia, nmekaaa mgumu sina
And mama told me 
One day am gon be a superstar

Ni champagne we poppin mabombe kwa carpet
Mabouncer na walkie talkie, ni Trio hamna copy
Ni champagne we poppin mabombe kwa carpet
Mabouncer na walkie talkie, ni Trio manze

Ka naielewa tunalala njaa
Madem nasakanyanga das kama nawangaa
Natapakaa kwa sinia kwenye masacre
Ni masanaa watu wangu heri hakaka

Tuketi sai pass a plastic
Nimechange purpose number one puppet
Mr Vanpassie hata wakisema Trio Gengetone artist
Medem wanatembeaga bila --

Nawapiga maminyongolo
Wabonge wapatiwe mamikongojo
Huwezi kosana na Judas hii ni imani ya Musa
But akili na ofisi ni ya Solomon yeah

Afande uko na mimi na si korogo yeah
Kwenyu ni makiki na maporojo yeah
Mi ndo mwenyekiti na kikolombo
Nimedunga hadi kola na matiki za yolobo yeah

Kana uko na Gbag na hawa nguna madenge
Ka unajing'ura na mabuda tugembe
Kama tujinyc kama doba ni kwa tenje
Kwani tukivybe na mabana walenje

Na manguna madenge
Na mabuda na tugwembe
Kama doba ni kwa tenje
Na mabang'a walenje

Nmekapitia, nmekaaa mgumu sina
And mama told me 
One day am gon be a superstar

Ni champagne we poppin mabombe kwa carpet
Mabouncer na walkie talkie, ni Trio hamna copy
Ni champagne we poppin mabombe kwa carpet
Mabouncer na walkie talkie, ni Trio manze

(Mavo on the Beat)

Watch Video

About N'mekapitia

Album : N'mekapitia (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 03 , 2021

More TRIO MIO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl