ZZERO SUFURI Matiati cover image

Paroles de Matiati

Paroles de Matiati Par ZZERO SUFURI


Kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Si napenda vile muda unayoyoma
Si ni kama gode vile inakuchoma
Si ni kama mbuku rada nishasoma
Bado huto tutoto tupoa poa bado natuona

Eeeh mahali niko huwezi uliza swali mtu
Hapa kila mtu ako na kutu
Shika wako mi nishike wangu mutu eeeh
Acha kipusa basi mi nikubusu

Ati kam tuzitoke, tudance adi shoke
Na usiogope, mdogo tuziondoke
Mkate msake, nipate njote
Nai hadi coste, mi washa ni note

Nakuwanga fete, twende twendete
Shaka machete, jibambe usitete
Si, leo ni siku yako mami
Kam tukawatoke tukakule kingwai
Na bado ukinijenga sitabaki ati ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Ati ati ati ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Rombosha ka uko nazo matia tia tia..
Matia tia tia..

Tingisha hizo mara matia tia ti
Rombosha ka uko nazo matia tia tia..
Matia tia tia..

Cheki, mambo Lucy napenda hako ka pussy
Kakue ka brown sanasana tu keusi
Kako na tunywele tusoft ka tausi
Ni karefu sana mi hukapimaga na uzi na 

Venye kuna joto si ukatoe ndani ya kamisi
Najua kanasikia njaa, hakajabonya toka juzi
Mi ndio nawezana, hao wengine jo ni upuzi
Eeeh, hao wengine cheki

Ati ni ngware ngware mdogo mdogo nikipiga bag
Kamsupa kakakam kakadai kahug
Kakadai nimpige maji mpaka ijae kwa jug
Mdogo mdogo tukicheki movie ya Snoopie Dog

Cheki, kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Kwani niaje bado hujaskia ati ati
Tingisha hizo mara matia tia ti
Mikono juu ka unapenda matia tia tia
Right, left ati ati

Si napenda vile muda unayoyoma
Si ni kama gode vile inakuchoma
Si ni kama mbuku rada nishasoma
Bado tutoto tupoa poa bado natuona

Eeeh mahali niko huwezi uliza swali mtu
Hapa kila mtu ako na kutu

Ecouter

A Propos de "Matiati"

Album : Matiati (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jul 14 , 2019

Plus de Lyrics de ZZERO SUFURI

ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl