ZABRON SINGERS Sikuachi Tena cover image

Paroles de Sikuachi Tena

Paroles de Sikuachi Tena Par ZABRON SINGERS


Tunaishi kwa nguvu za Mungu
Yeye ndo katuweka hapa 
Kila hatua tunapitia ye ndiye mlinzi wetu 
Asubuhi ifikapo hujua siku itaenda vipi 
Je ntavuka salama mchana jioni hata usiku 

Kwa dakika sekunde hujua siku itaenda vipi 
Kupata na kukosa ajua mimi nitapata nini 
Kulala kuamka ajua mimi nitaamka vipi 
Maisha yetu yote Mungu ndiye anazo siri zetu 

Tunaishi kwa nguvu za Mungu
Yeye ndo katuweka hapa 
Kila hatua tunapitia ye ndiye mlinzi wetu 
Asubuhi ifikapo hujua siku itaenda vipi 
Je ntavuka salama mchana jioni hata usiku 

Kwa dakika sekunde hujua siku itaenda vipi 
Kupata na kukosa ajua mimi nitapata nini 
Kulala kuamka ajua mimi nitaamka vipi 
Maisha yetu yote Mungu ndiye anazo siri zetu 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

Mwanga wangu wa njia na nyota katika maisha yangu
Ye ni Mungu wa nuru ushindi hata vitu vyote vyake 
Upatacho shukuru ni Mungu ndiye kakuweka hapo 
Usisahau kumtumikia bado ungali hai 

Kumbuka kuna siku utadaiwa kwa matendo yako 
Iweje jema kwa baya watu umewatenda vipi 
Je wazitumiaje baraka ulizopewa na Mungu 
Suluhisho pekee ni Mungu tumpe maisha yetu 

Mwanga wangu wa njia na nyota katika maisha yangu
Ye ni Mungu wa nuru ushindi hata vitu vyote vyake 
Upatacho shukuru ni Mungu ndiye kakuweka hapo 
Usisahau kumtumikia bado ungali hai 

Kumbuka kuna siku utadaiwa kwa matendo yako 
Iweje jema kwa baya watu umewatenda vipi 
Je wazitumiaje baraka ulizopewa na Mungu 
Suluhisho pekee ni Mungu tumpe maisha yetu 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo ni rehema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

Ecouter

A Propos de "Sikuachi Tena"

Album : Sikuachi Tena (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jan 17 , 2021

Plus de Lyrics de ZABRON SINGERS

ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS
ZABRON SINGERS

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl