
Paroles de Sina
...
Paroles de Sina Par JAY MELODY
Ladies and gentleman
Jay once again
Ona nananah
Ona nananah
Leo mimi hadharani
Nakupa vyeo
Manyota nyota kibao
Kama police
Umenipa faraja
Toka umenipa hiki cheo
Na kwa upande wangu
Mi sina kipingamizi
Kama mapenzi
Macho yangu ukiyatazama
Ukiyatazama, yatakwambia
Nishajiweka kwako ujue
Sa itakua mbaya ukinidanganya
Nitatangatanga
Kwenye hii dunia
Ooh sina pakukimbilia
Anhaa basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia
Onhooo ooooh sina
Pakukimbilia
Sina ooh sina
Pakukimbilia
Oooh basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Basi taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia
Onhooo sina
Pakukimbilia
Si unajua uwezo sina
Wakupigana nitaumizwa
Mwili wangu wa mapenzi
Basi nitunzie huba langu
Usijaribu kunipima
Ukanichota ukanimimima
Ukanichanganya na wengi
Hapo ndo pressure kizungu zunguu
My sweet penzi sio kisinia
Kwa bonge au kwa shishi
Watu kukigombania
My darling penzi sio kisinia
Eti kwa esha buheti
Watu kukifakamia
Kama mapenzi, macho yangu ukiyatazama
Ukiyatazama, yatakwambia
Nishajiweka kwako ujue
Sa itakua mbaya ukinidanganya
Nitatangatanga
Kwenye hii dunia
Ooh sina pakukimbilia
Anhaa basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia
Onhooo ooooh sina
Pakukimbilia
Sina ooh sina
Pakukimbilia
Oooh basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Basi taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia
Onhooo sina
Pakukimbilia
Ecouter
A Propos de "Sina"
Plus de Lyrics de JAY MELODY
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl