Paroles de Daresalama Par YOUNG DEE


I'm looking so boujee 
Ila kwa ukweli nishaupambaya 
My life is like a movie yenye ngumi ile mbaya
Ninapete ye gold naweza kuvunja shaya 
Kuna dem cuppuccino ambaye tu mala**

Ukinipa bill naipiga kama John Cena
Ile kimtaani mtaani hata hope sina
Umeleta utani mwenzio hata akili sina
Kwani kitu gani mi nazima mpaka jiji zima

Vitu kibao kichwani kama nina uzimu
Jinsi navyo rap na vocals wanaingizia jimu
Bro hujui hata kunyonga alafu navusha steam
Nitakupa namba alafu ukipiga nikukatie simu

Wangapi wana maswali nimekuja na majibu
Nimetoka mbali hadi napokwenda nahisi ni karibu
Sometimes namind manguli wanavyonijaribu
Ila kumbe wanamind zaidi vile huwa siwajibu

Ni paka rapper rapper anayewatesa watu wazima
Toa hizo takataka za watoto wanaotaka kupima
Toka chaka tuna charter la dunia mzima
Hawajui mi ndo baba nao watoto wananikosea heshima

Eeeh, kesha jana yangu nipe tambara
Aaah, nakuoza zetu makachara

Da Da, Daresalama
Da Da, Daresalama
Da Da, Daresalama
Da Da, Daresalama

Leo ni leo sio kitoto kidingi
Leta nyama hivi vyombo ni vingi
Kama ligi weka moto baridi
Afu zikizidi ni kwenda kuchiti

Aah unamtaka nani? 
Badman Daresalama here we go
Si tunataka money
Tutazisaka kokote ziliko

Wapi Gigy? Leta papa
Basi mimi hio bill leta hapa
Nani? Weka sign paka rapa
Weka sign DSM weka sign
Anataka kuja DSM kasha check out leo Dubai
After kwanza January anataka achill hadi July

Ni paka rapper rapper anayewatesa watu wazima
Toa hizo takataka za watoto wanaotaka kupima
Toka chaka tuna charter la dunia mzima
Hawajui mi ndo baba nao watoto wananikosea heshima

Eeeh, kesha jana yangu nipe tambara
Aaah, nakuoza zetu makachara

Da Da, Daresalama
Da Da, Daresalama
Da Da, Daresalama
Da Da, Daresalama

Aah unamtaka nani? 
Badman Daresalama here we go
Si tunataka money
Tutazisaka kokote ziliko

Da Da, Daresalama
Da Da, Daresalama
Da Da, Daresalama
Da Da, Daresalama

Ecouter

A Propos de "Daresalama "

Album : Daresalama (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Nov 11 , 2020

Plus de lyrics de l'album Daresalama (EP)

Plus de Lyrics de YOUNG DEE

YOUNG DEE
YOUNG DEE
YOUNG DEE
YOUNG DEE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl