Paroles de Njiwa Par WILLY PAUL


Wily wily wily willypozee
Na nandy dandy
Kama utaenda angalia pa kutua
Kwenye bati au bustani ya maua
Mwambie nampenda ananisumbua
Mwambie nampenda japo kauchubua njiwa
Peleka salamu salamu zangu
Me sina khali naona mawingu
Nyota nyota mwezi kizunguzungu
Khali sio shwari haki ya Mungu
Nimeshazama kwenye penzi naweza sema nimepagawa
Mwambie sijiwezi ohhhh
Where are you 
Njiwa njiwa
Mwambie sio chakula tu hata maji me sinywi
Mpaka anatuma watu kina Jose Mbilinyi
Na hizo kauli zake tu ananikata maini
Anacheza karata tatu hata aniamini
Nimeshazama kwenye penzi waweza sema nimepagawa
Mwambie sijiwezi aje mapema anipe dawa
Nimeshazama kwenye penzi waweza sema nimechachama
Mwambie sijiwezi aje mapema anipe dawa

Ecouter

A Propos de "Njiwa"

Album : Njiwa (Single)
Année de Sortie : 2018
Copyright : ©2018
Ajouté par : Trendy Sushi
Published : Feb 12 , 2020

Plus de Lyrics de WILLY PAUL

WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL
WILLY PAUL

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl