Paroles de Hawakatai
Paroles de Hawakatai Par NAY WA MITEGO
Hawakatai, hawakatai
Hawakatai eeh katai, hawakatai (Hawakatai)
Hawakatai eeh katai, hawakatai
Sijui wana tamaa ukipendeza wanajileta (Hawakatai)
Sura mbaya imekomaa utawapata ukiwa na pesa (Hawakatai)
Ukimfuata na gari hata kama la kuazima
Ujue amekwisha huyo (Hawakatai)
Akikupa namba we tuma salio
Mwambie njoo ghetto (Hawakatai)
Mmekutana leo, unamwomba leo
Na anakupa leo (Hawakatai)
Ukimpa mimba mzee, ukimwambie akatoe (Hawakatai)
---
---
Hawakatai eeh katai, hawakatai (Hawakatai)
Hawakatai eeh katai, hawakatai
Hawakatai, katai, katai, hawakatai (Hawakatai)
Hawakatai, katai, katai, hawakatai (Hawakatai)
Eh eh ... hawakatai
Sijui ushamba
Akikupenda hata ukiomba picha za utupu (Hawakatai)
Wanajiona wajanja wakati ulimbo wao ni bia na chips kuku (Hawakatai)
Ecouter
A Propos de "Hawakatai"
Plus de Lyrics de NAY WA MITEGO
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl