NANDY Magufuli Tena cover image

Paroles de Magufuli Tena

Paroles de Magufuli Tena Par NANDY


Mwenye huruma
Mkombozi wa watu
Ulisha ukapambania
Hakuna wa kuiba wewe

Watanzania 

Ni Magufuli, Magufuli tena
Ni Magufuli
Ni Magufuli, Magufuli tena
Ni Magufuli

Kaachia wafungwa 
Wenye makosa madogo gerezani
Kaanzisha miradi mikubwa 
Kote nchini ni mzalendo

Ni Magufuli, Magufuli tena
Ni Magufuli
Ni Magufuli, Magufuli tena
Ni Magufuli

Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu
Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu

Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu
Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu

Kapandisha bajeti ya dawa
Kutoka bilioni thelathini na moja
Hadi bilioni mia mbili sabini
Soko ya madini sasa imeongezeka ah-ah-ah

Leo vijana elimu ya juu
Wanasoma hawana muda
Wa kuandamana tena
Mikopo inawai

Leo vijana elimu ya juu
Wanasoma hawana muda
Wa kuandamana tena
Mikopo inawai

Makao makuu Dodoma
Ni ahadi ya miaka arubaini
Leo kaitimiza 
Tena kwa kasi

Ni Magufuli, Magufuli tena
Ni Magufuli
Ni Magufuli, Magufuli tena
Ni Magufuli

Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu
Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu

Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu
Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu

Raha, raha tupu kuwa na yeye tu
Raha tupu
Raha, raha tupu na rais Magufuli

Mikopo kwa mama, vijana na walemavu(Rais Magufuli)
Huduma ya maji ni bwerere pia(Rais Magufuli)
Kaongeza dhamani ya wakulima(Rais Magufuli)
Korosho, kahawa, pamba, ufuta, mihogo mmmh

Barabara za kisasa
Raha raha tumepata
Ujenzi wa reli pia
Tanzania

Majengo ya hospitali Wilaya sitini na saba
Ni Rais Magufuli
Elimu pia ni bure pia ametoa 
Ni Rais Magufuli

Na mapato kem kem serikalini
Ni Rais Magufuli
Kiongozi mwadilifu 
Anafurahi

Ni Magufuli, Magufuli tena
Ni Magufuli
Ni Magufuli, Magufuli tena
Ni Magufuli

Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu
Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu

Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu
Raha, raha tupu na rais Magufuli
Raha tupu

Ecouter

A Propos de "Magufuli Tena"

Album : Magufuli Tena (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Nov 07 , 2019

Plus de Lyrics de NANDY

NANDY
NANDY
NANDY
NANDY

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl