NANA Chizi cover image

Paroles de Chizi

L'artiste kényane Nana Okindo alias Nana the Melanin Queen mieux connue sous le nom de...

Paroles de Chizi Par NANA


Mara kwa mara najikazia ah
Nimekupatia
Moyo wangu wewe nakulindia ah
Nafurahia 

Nini ulichonipa wewe
Ukikosea maneno matamu nakurudia ah
Bila kufikiria

I see you now I don't 
It's like a game of cut and nerves
Mchezo wa pata potea sitaki mimi

Nimezama ndani ya penzi lako baby
Sielewi mbona wanitenda hivi kweli
Nashangaa kipi cha kutatanisha hivi

Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi

Mara kadhaa umeniumiza aah
Nimekusamehe
Nadhani umebadili unanichezea aah

Nawaza nini ulichonipa wewe
Ukikosea maneno matamu nakurudia ah
Bila kufikiria

I see you now I don't 
It's like a game of cut and nerves
Mchezo wa pata potea sitaki mimi

Nimezama ndani ya penzi lako baby
Sielewi mbona wanitenda hivi kweli
Nashangaa kipi cha kutatanisha hivi

Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi

You always know the right things to say
And the right things to do
Don't want to - chocolates baby boo
Nakutaka tu
I don't know where this is heading to
But I'm so in love with you

Nimezama ndani ya penzi lako baby
Sielewi mbona wanitenda hivi kweli
Nashangaa kipi cha kutatanisha hivi

Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi, chizi
Umenifanya nakuwa chizi

Ecouter

A Propos de "Chizi"

Album : Chizi (EP)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Nov 11 , 2020

Plus de lyrics de l'album Chizi (EP)

Plus de Lyrics de NANA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl