NAIBOI Jam  cover image

Paroles de Jam

Paroles de Jam Par NAIBOI


Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam
Tutajam na hii jam

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, haja gani ajam?

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, ata ka ni ya bar

Tupige kasherehe pande gani?
Hapa kila mtu amebamba wake
Kwani rada gani? Nadai rada safi
Otero mambo mbaya mi ndio baba yake

Kwani rada gani nadai rada safi
Otero mambo mbaya mi ndio baba yake
Aiya Cate naye vile kamesimama
Macho macho usijitege kamba

You only live once kama mbaya mbaya
Jipange we mwenyewe usipitie choir
Sikia wamejam siku hizi nimechange diet
Wamejam vile bei pia mbaya
Wamejam ju siku hizi wakinicall
Ni mteja wa nambari....

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, haja gani ajam?

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, ata ka ni ya bar

Ati wameshika nare, nare eh
Nare nare eh
Wameshika nare, nare eh
Nare nare eh

Ati wameshika nare, nare eh
Nare nare eh
Wameshika nare, nare eh
Nare nare eh

Niliweka nywele yangu dye wakajam
Nikasema Femi bado Uno wakajam
Sai fine gyal pengting si wanakam
Sikia umejam juu kalenda imejaa

Jah Jah bless me
Ameniweka fiti mbele ya enemies
Acheni utoto Femi bado plan literally
Things weekendi mi ni daily
Kustand or cheki mi sispendi

Naskia wamejam siku hizi nimechange diet
Wamejam vile bei pia mbaya
Wamejam ju siku hizi wakinicall
Ni mteja wa nambari....

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, haja gani ajam?

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, ata ka ni ya bar

Ati wameshika nare, nare eh
Nare nare eh
Wameshika nare, nare eh
Nare nare eh

Ati wameshika nare, nare eh
Nare nare eh
Wameshika nare, nare eh
Nare nare eh

 

Ecouter

A Propos de "Jam "

Album : Otero (EP)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021 Naiboi Worldwide
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Nov 01 , 2021

Plus de lyrics de l'album Otero (EP)

Plus de Lyrics de NAIBOI

NAIBOI
NAIBOI
NAIBOI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl