MZEE MONDI Unanijua cover image

Paroles de Unanijua

Paroles de Unanijua Par MZEE MONDI


 

Ata simba ananijua aga aga
Konki master ananijua aga aga aga
Pierre Liquid na wewe si unanijua

Woiyoooo...
Shaja boy unamjua
Roho msabwanda mnamjua
Cheki team macho mnayajua

Babu Tifa(naam mwanangu naam mwanangu)
Mwanao nina shida (niambie nikutatulie)
Nitawezaje kudumu kwenye mapenzi 
(Unahitaji uwe na roho ngumu sana mwanangu)
Hawa mababu zetu wenyewe,mapenzi yaliwashinda
Karibu sana ukubwani mwanangu

Aga aga aga(aga aga aga aga)
Mimi ni yule yule
Big Simba tunakuja kivingine
Babu Tifa oooh, aga aga

Aga aga aga
Mimi ni yule yule
Big lion
Aga aga

Maisha ya mjini
Boda boda bajaji 
Usingizi wa watu
Hawa mababu zetu wenyewe,mapenzi yaliwashinda
Karibu sana ukubwani mwanangu

Aga aga aga(aga aga aga aga)
Mimi ni yule yule
Big Simba tunakuja kivingine
Babu Tifa oooh, aga aga

Aga aga aga
Mimi ni yule yule
Big lion
Aga aga

Ecouter

A Propos de "Unanijua"

Album : Unanijua (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Apr 23 , 2019

Plus de Lyrics de MZEE MONDI

MZEE MONDI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl