KONTAWA Champion Remix cover image

Paroles de Champion Remix

Paroles de Champion Remix Par KONTAWA


Jam on the beat

Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion
Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion

Yea
Mi nimezaliwa mtwara
Huku ndanindani chitoholi na rendele
Pengine hata bibi yangu na babu bado
Wajua raisi ni nyerere
Huko kwetu machawa wapo
Tena wakikungata wnakuwacha na vipele
Na sio machawa wa mjini
Hadi motto wa kike wanamuonea gere
Men sikumbuki kama mungu nisha muomba utajiri
Ila kanipa kwa sababu nastahili
Busara kwangu ni jambo la siri
So usishangae wakiniitanga zobanhiri
Nime toboa mbele  mkubwa na tale
Kipara na sake wa tandalee
Hizi sio zama za kale
Mziki uko huru
Piga mziki tumebaki wawili
Haikua riziki wanangu cheed na killy
Ma sister angella wamemshika killy
Waambie konde gang ni jeshi la mtu mbili

Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion
Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion

Tumeishi na watu wanao amini kwenye mpango wa mungu kuna mkono wa mtu
Tumeshi na watu wanao amini sikukuu ndio siku ya kuchinja kuku
Ooya wee
Tumeishi na watu ambao walitembea na  umeme lakini bado nyumbani walikosa luku
Tukaishi na watu wanao amini bahati bahai zote alipangiwa bukuku
Apo mwanzoni waliamini atutopata mafanikio
Walio tugagilia wakauza mafagio
Eeh mtaani kwetu sio
Mtu aliye toboa sana alitoboa sikio
Chumba kimoja analala dada na kaka
Watu awatupi msosi ata ukichacha
Baba chambazi motto anajiuza mtaani
Mama mchawi nyumbani atabaki nani

Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion
Aaa yeeeh I’m the winner
I’m the champion
Champion champion

Ecouter

A Propos de "Champion Remix"

Album : Champion Remix (Single)
Année de Sortie : 2022
Ajouté par : Farida
Published : Nov 15 , 2022

Plus de Lyrics de KONTAWA

KONTAWA
KONTAWA
KONTAWA
KONTAWA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl