COUNTRY BOY Dogoli cover image

Paroles de Dogoli

Paroles de Dogoli Par COUNTRY BOY


 

I,am taking on and going high
My nigga bado sina wengi
Leta vitu, far nidrive, 
Madiga wanataka ni bang bang
Pande zote na bang bang
Game na bro na my gang gang

Na kaba koo  kwenye ngoma zao
Tuna kill the show kama chain chain
So who the f** you think you know me(think you know me)
Go get the mulla mama told me(mama told me)

The lord horse is what they call me
Namuua nyani simtazami usoni
If you ain't 'bout money, you ain't know me
Pesa inafanya toto ilambe koni
Kutoka kwa hood, mpaka kwa wanangu wa chuo kikuu
Na mwaka huu, wote tunataka kuenda juu
(juu juu juu juu juu juu)

Washa dogoli, washa washa washa washa washa
Washa dogoli, washa washa washa washa washa
Washa dogoli, washa washa washa washa washa
Washa dogoli, washa washa washa washa washa

Muda ni mchache, mambo ni mengi bado napindua pindua
Kilicho na nanda, mi nakuona kama unazingua zingua
CountryBoy ukifanya ugomvi, nalipua lipua
Kutoka Dar, mpaka Down me nakisanua sanua

Mungu ananionyesha miujiza 
Nyie endeleeni kuigiza
Nang'aa mpaka kwenye giza
Bongo kam walahi yoh bila viza

If you ain't bout money, you ain't know me
Pesa inafanya toto ilambe koni
Kutoka kwa hood, mpaka kwa wanangu wa chuo kikuu
Na mwaka huu, wote tunataka kuenda juu
(juu juu juu juu juu juu)

Washa dogoli, washa washa washa washa washa
Washa dogoli, washa washa washa washa washa
Washa dogoli, washa washa washa washa washa
Washa dogoli, washa washa washa washa washa

Ecouter

A Propos de "Dogoli"

Album : Dogoli (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Mar 29 , 2019

Plus de Lyrics de COUNTRY BOY

COUNTRY BOY
COUNTRY BOY
COUNTRY BOY
COUNTRY BOY

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl