MONI CENTROZONE  Maelekezo Chapter One cover image

Paroles de Maelekezo Chapter One

Paroles de Maelekezo Chapter One Par MONI CENTROZONE


Mi ndo yule chawa wake langa
Chawa wake Roma
Sumbuka sumboko get the money
Serve the commas

Ghafla natrend kwenye riz wananisoma
Niko jangwani sea breeze  mi nachoma
Kuona mtu wa watu na ukipanda stage ni show kali
Alafu toka wacho vinawaka kama Bob Marley

Kavitafuta mtoto mmoja msomali
Kisha mpeleke moto msonobari
Uh ulimwengu ndo mambo iko kwa kichwa
Niko na so famous kwa kitchen

Kaniambia nigga accomplish the mission
Kisha go fuvk them bitches
Kisha go pop them bottles
Nimeanza 2010 watoto wa baro

Siwezi lia kama Mukajo
Sponsa niachie my wangu
Ukiniona stage thats money
Kisha namla babe flani Fayvanny

Nashukuru Mungu naokota 
Hivyo sishoboki na hizo shows
Mi mwenyewe promoter I promote my own shows
Nimetoka mlo mmoja mpaka sasa money flows

--
---

Ecouter

A Propos de "Maelekezo Chapter One"

Album : Maelekezo Chapter One (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Nov 12 , 2020

Plus de Lyrics de MONI CENTROZONE

MONI CENTROZONE
MONI CENTROZONE
MONI CENTROZONE
MONI CENTROZONE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl