MONI CENTROZONE  Kovu /Haikuwa Sawa cover image

Paroles de Kovu /Haikuwa Sawa

Paroles de Kovu /Haikuwa Sawa Par MONI CENTROZONE


Simu saa nane usiku vipi unataka chapatti ?
Mama vipi umemiss mikasi ?
We ni fundi wa kil akitu vipi umechunda kwa wachati
Unafosi kukimbizana na wakati
Kaa ukijua mapenzi yetu yalinipa sana funzo
Japo tulipendana kutwa ndizi kwenye utumbo
Siku tulipoachana tulizua sana gumzo
Vijembe ukanipiga sana nyundo
Nikasema shkopaaa nilivosikia unatoka na madon
Nikawa namokaa akili yangu nikaiweka mzigoni
Nakuogopaa maana ulitaka kuntupa shimoni
Tulipotokaa unajua ni mbali majengo sokoni

Yale hayakuwa mapenzi mamaa haikuwa sawa
Mwenzako nna kidonda cha mapenzi kovu na sijapata dawa
Yale hayakuwa mapenzi mamaa haikuwa sawa
Mwenzako nna kidonda cha mapenzi kovu na sijapata dawa

Hatwa mbili unarudi nane kwenye kumi
Bila complain bila kukunja ngumi
Tryna show up ila nakuona giza
Moshi niko clean clean kama sizla
Usije dande hizi
Nitakuita mwizi
Piga bakora za mbavu mpaka michirizi
No bless, no air, no you hauko fair
Nilikupa ball na ukashindwa kuichezea
Love yangu true but for you ikapepea
Hata my crew watching you ukipotea
Nothing but fool but do you usije tokea
Kalagaa bao haina but two utazoeaa
Shauri zao wanaosema kwamba nakuonea
Shauri zao nishazoea wakiongea
Niache peke yangu mi nna mambo zangu
Nna njia zangu mi na ishu zangu am done

Yale hayakuwa mapenzi mamaa haikuwa sawa
Mwenzako nna kidonda cha mapenzi kovu na sijapata dawa
Yale hayakuwa mapenzi mamaa haikuwa sawa
Mwenzako nna kidonda cha mapenzi kovu na sijapata dawa

Ushakaa ndani ukpika na hupakua
Name sikufanya uwe kipa maana kuscore unajua
Ikafika tamati hadi tukaamua kuyatua
Sitaki hesabu mimba ngapi tulizoamua kufyatua
Kuppendana na kuchepuka timing kimachale
Namimi best friends zako wote lazma niwake
Mda mchache tu x kugenka shemu
Fanya yote ogopa sana mwanamke anaeitaka fame
Mwanzo nilitambua kwamba mapenzi yana visa
Cha pili sikutambua kwamba kuachana ni vita
Na kwa sababu un akitu basi mbali utafika
Epuka ubaya wa kashfa ama uzuei wa sifa
Hakuna tofauti kati ya donkie na zebra
Sitegemei shafti mjini hesabu aljebra
Kasura ni cha huruma ila moyoni una agenda
Nishaamua sirudi nyuma kwenda mwana kwenda

Yale hayakuwa mapenzi mamaa haikuwa sawa
Mwenzako nna kidonda cha mapenzi kovu na sijapata dawa

Ecouter

A Propos de "Kovu /Haikuwa Sawa"

Album : Kovu /Haikuwa Sawa (Single)
Année de Sortie : 2023
Ajouté par : Farida
Published : Aug 10 , 2023

Plus de Lyrics de MONI CENTROZONE

MONI CENTROZONE
MONI CENTROZONE
MONI CENTROZONE
MONI CENTROZONE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl