MEJJA Landlord cover image

Paroles de Landlord

Paroles de Landlord Par MEJJA


Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo
Landlord yo

Asubuhi imefika nimeamka bila balaa
Naeka mkeka chini napiga swalaa
Naenda zangu bafu kisha mambo safi
Navaa chini sneaker, juu navaa shati
Kisha... ksh ksh... oh sinanga marashi
Nakunywa kahawa nikiteremsha kaimati
Naskia kuna mtu anabisha mlangoni
Kuenda kufungua, ah katoto kajirani
Huwa kananipenda, ye hukuwa beshte yangu
Mejja usisahau leo kuniletea madafu
Leo ni lazima, redio inanibamba
Juu kila station inacheza genge mbaya
Juu nishashiba sa ni kuenda ku-hustle
Nikienda kutoka ndio nifungue mlango
Eh, jo, beste siamini
Napata mwenye nyumba na kifuli mkononi

Eh! Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Mwenye nyumba amekubali amenipa mpaka jioni
Sija chukulia hata gomba juu leo niko mbioni
Napigia Omondi, si unitupie mkopo
Mejja wee nasahau, si niko na deni yako
Wazi naenda kwa Vaite kuchukulia ketepa
Kuna manzi ako mbele yangu amejibeba
Mi na yeye hapo natupa lugha
Ashaanza kudai imagine sijakula
Staki ajue mi hukula mandazi surwa
Tunakula Steers, nanunua beer
Kisha zikimbamba anaanza kuniambia
Sikujui lakini nakutaka sana itisha taxi tena haraka
Kufika keja kwanza ni kushtuka
Tumekula Steers na hujalipa nyumba
Sijui kwa nini nimesahau kukumbuka

Eh! Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu

Usiniharibie siku bana landlord
Umenifika kwenye koo (eh eh eh)
Wee ni tafash tu
Sijiskii kuhama na sitaki more 

Ecouter

A Propos de "Landlord"

Album : Landlord
Année de Sortie : 2016
Copyright : ©2016
Ajouté par : Its marleen
Published : Apr 24 , 2020

Plus de Lyrics de MEJJA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl