
Paroles de Mbona
Paroles de Mbona Par MATTAN
Mimi sitaki tena kusikia umeniumiza
Alpha na Omega mwanzo mwisho katu sitokuwaza
Umenisulubu kwa adhabu
Nami mdhaifu kwako nyang'afu
Na si unajua tu wewe
Mwenzako maumivu kiwewe
Yaani umetenda tu wewe
Kifaranga manjonzi furaha ya mwewe
Si unajua tu wewe
Mwenzako maumivu kiwewe
Yaani umetenda tu wewe
Oooh
Na mbona mbona mbona mbona?
Upendo daraja limevunjika
Mbona mbona mbona mbona?
Furaha umebadili kuwa maumivu
Mbona mbona mbona mbona?
Nafanyaje ndo hivi najikokota
Mbona mbona mbona mbona?
Kiranga mbele nimebaki bubu
Lahili wa nahari
Silali unono zake hiana
Akaenda upepo mwanana
Kavuka nyika nami simanzi
Sipati jawabu juu ya hili
Jambo najiuliza
Umefichuka kichaka uloficha mechacha
Niparua makucha mmmh
Kutaka kunikomoa
Nia yako kusudi umevuja pakacha
Na si unajua tu wewe
Mwenzako maumivu kiwewe
Yaani umetenda tu wewe
Kifaranga manjonzi furaha ya mwewe
Si unajua tu wewe
Mwenzako maumivu kiwewe
Yaani umetenda tu wewe
Oooh
Na mbona mbona mbona mbona?
Upendo daraja limevunjika
Mbona mbona mbona mbona?
Furaha umebadili kuwa maumivu
Mbona mbona mbona mbona?
Nafanyaje ndo hivi najikokota
Mbona mbona mbona mbona?
Kiranga mbele nimebaki bubu
Ecouter
A Propos de "Mbona"
Plus de Lyrics de MATTAN
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl