KAYUMBA Nimegonga Remix cover image

Paroles de Nimegonga Remix

Paroles de Nimegonga Remix Par KAYUMBA


Kayumba hapa
Na mtoto Bad

Eh mwenzenu nauza mboga, nauza mboga
Nauza mboga za majani
Mi mwenzenu nauza mboga, nauza mboga
Nauza mboga za majani

Biashara ina changamoto
Kutwa mi kelele ka mtoto
Inanimaliza uloto
Kuna muda peku peku tu ka mpoto

Mwenzenu nauza mboga, nauza mboga
Nauza mboga za majani

Na ndo maana kwa Mashalove (Nimegonga)
Kwa Rashida Wanjala (Nimegonga)
Ewe kwa jike shuka (Nimegonga)
Kwa Gigy hanaga noma (Nimegonga milango)

Ah! me muuza urembo ooh!
Toka kitambo naunga unga vifaa naeka kwenye rambo
Huu urembo una vijimambo
Huwezi uza bila kugonga milango

Ndo maana kwa Gigy Money (Nimegonga)
Kwa Paula Kajala (Nimegonga)
Ooh Wema Sepetu (Nimegonga)
Kwa Linah hanaga noma (Nimegonga milango)

Niligonga kwa Amber Rutty 
Kafungua mlango wa nyuma
Niligonga kwa Amber Rutty
Kafungua mlango wa nyuma

Akanunua Vi hereni na virangi
Pakee mwenyewe akasema ye hawezi
Nikampaka, nikampaka, nikampaka, nikampaka virangi
Nimegonga, nimegonga milango

Huyu dada kaanza kudanga (Mbona bado mdogo)
Anasifika kwa umalaya (Mbona bado mdogo)
Mzoefu kukalia chupa (Mbona bado mdogo)
Humjui hakujui (Jikilie acha shobo)

Kuna vidume haviwezi mechi uongo
Havishindi goli eti bila mkongo
Kamuulize Shalala boy msondo
Wanaume wa Dar ndo yao michongo

We mshike mshike mshike ndege tunduni
We kachuma ndizi na bado iko mkunguni
We mshike mshike mshike ndege tunduni
We kachuma ndizi na bado iko mkunguni

Hunidai Dobo, sikudai
Hunidai G mauzo, sikudai
Hunidai Wasowiso, sikudai
Hunidai G maker, sikudai

Ukinichukulia bwana, wewe dada tutauwana
Ukinichukulia bwana, wewe dada tutauwana
Ukinichukulia demu, mwanangu tutauwana
Ukinichukulia demu mwanangu tutauwana

Yeah  umo umo
Ah chichi chichi ndo kidicho
Chichi ndo kidichi
Chini mkono wa picha

Nimegonga! Nisalimie Mkojani
Nimegonga! Wapi Dj Aiih
Nimegonga! We Jay Stereo nisalimie Muraq Dady
Utawauwa aah! Nimegonga milango

Ecouter

A Propos de "Nimegonga Remix"

Album : Nimegonga Remix (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 16 , 2021

Plus de lyrics de l'album Sweet Pain (EP)

Plus de Lyrics de KAYUMBA

KAYUMBA
KAYUMBA
KAYUMBA
KAYUMBA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl