
Paroles de Kiguu Na Njia
...
Paroles de Kiguu Na Njia Par JAY MELODY
Anhaaaa anhaaa
Onhooohho
Once again
Onhooo
Walisema mapenzi dawa ohoh
Ila kwako nilipata ugonjwa ah
Ukanilisha bila kunawa oohoh
Madharau hukua na uoga
Ndo mana nimekukata
Nimekuzimia taa
Mwenye roho ya paka
Usie wahi ridhika
Mapema nilijua
Mbali hatutafika
Kipi kinakuwasha
Mbona wahangaika anhaa
Habari zako nimezisikia mbali
Yamaanisha wewe kiguu na njia
Unazunguka kusambaza vidosari
Hakuna baya mimi nilokufanyia
Watia tia unga
Wasaga saga rumba
Yako yamekushinda
Ya kwangu kuyachunga wewe
Watia tia unga
Wasaga saga rumba
Yako yamekushinda
Ya kwangu kuyachunga wewe
Ona nanananah
Ono nonononoh
Ona nanananah onaaaaaah aah
Sasa natulia jinsi napatiwa raha za dunia (acha iyo)
Anazingatia tabasam langu nisije kulia (acha iyo)
Na tena fundi wa mapenzi amejaaliwa (acha iyo)
Kajawa hisia mahaba asilimia mia onhoo
Ulitaka nikongoroke oooh
Niwe hoi yani nichoke aah
Kwenda huko wewe cha wote oooh
Huna jambo huna lolote aaaah
Habari zako nimezisikia mbali
Yamaanisha wewe kiguu na njia
Unazunguka kusambaza vidosari
Hakuna baya mimi nilokufanyia
Watia tia unga
Wasaga saga rumba
Yako yamekushinda
Ya kwangu kuyachunga wewe
Watia tia unga
Wasaga saga rumba
Yako yamekushinda
Ya kwangu kuyachunga wewe
Ona nanananah
Ecouter
A Propos de "Kiguu Na Njia"
Plus de Lyrics de JAY MELODY
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl