
Paroles de Chuzi Limemwagika
Paroles de Chuzi Limemwagika Par SNURA
Jamani chuzi hilo
Mmeliona chuzi hilo
Oneni chuzi hilo
Wanangu chuzi hilo
Macho kodo linapopota
Dodo di dodo linavyopwita pwita
Wanashangaa linavyotingishika eeh
Wakiliona wanataka kushika
Jamani chuzi hilo (Limemwagika)
Mmeliona chuzi hilo (Limemwagika)
Jamani chuzi hilo (Limemwagika)
Mmeliona chuzi hilo (Limemwagika)
Snura mmemuona
Anavyocheza mmemuona?
Na yule mmemuona anavyokata mmemuona?
Wanangu mmemuona jamani mmemuona?
Nasema mmemuona, na yule mmemuona?
Ukilitia mhogo linanoga je
Ukitia matembele linanoga je
Na lile, na lile
Na lile, na lile
Wa mbele anacheza, wa nyuma anambaishia
Na wa chini anakaa, wa juu anamkalia
Wa mbele anacheza, wa nyuma anambaishia
Na wa chini anakaa, wa juu anamkalia
Kila siku anadanga kupenda offer za bia
Kajitia kiranga chuzi limemwagikia
Kila siku anadanga kupenda offer za bia
Kajitia kiranga chuzi limemwagikia
Haya sasa zamu ya watoto
Wa mwananyamala kulimwaga chuzi
Na lile, na lile
Wako wapi watoto wa kinondoni
Mwageni chuzi
Jamani chuzi hilo (Limemwagika)
Mmeliona chuzi hilo (Limemwagika)
Watoto wa Magomeni mpo
Na lile, na lile
Haya watoto wa Mguruni
Sijaona sijaona sijaona
Jamani chuzi hilo (Limemwagika)
Mmeliona chuzi hilo (Limemwagika)
Aah, jamani nini tena
Hatujaskia watoto wa Buza
Aah mnataka watoto wa Mpalange?
Basi sawa
Na lile, na lile
Na lile, na lile
Ecouter
A Propos de "Chuzi Limemwagika "
Plus de Lyrics de SNURA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl