Paroles de Nina Siri Par ISRAEL MBONYI


Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
(Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen)

Wambie wanaolia wakiteswa na malimwengu;
Waonjeni neema yake na rehema yake mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru wakiimba  hossana amen
Watafunguliwa, watawekwa huru wakiimba  hossana amen
Wambie wanaolia wakiteswa na malimwengu;
Waonjeni neema yake na rehema yake mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru wakiimba  hossana amen
Watafunguliwa, watawekwa huru wakiimba  hossana amen

(Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen

Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen)

Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
(Nina siri naye Yesu yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha nikirukaruka hossana amen
Yaniburudisha nikirukaruka niki imba hossana amen)

Ecouter

A Propos de "Nina Siri"

Album : Nina Siri (Single)
Année de Sortie : 2023
Ajouté par : Farida
Published : Jun 27 , 2023

Plus de Lyrics de ISRAEL MBONYI

ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl