...

Paroles de Kaa Nami Par ISRAEL MBONYI


Kutakuwa milima haitaondolewa

Kutakuwa na mito na sitaweza kuvuka

Sio kila ombi litajibiwa nipendavyo

Sio kila wimbo utakaotuliza moyo

Nimekupata, nina mtetezi

Unionyeshe njia zako

Nikujue

Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke

Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote

Wema wako unisindikize Hadi tamati

Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo Ninachoomba kaa nami

Ikiwa nimepata neema kwako

Kutakuwa milima haitaondolewa

Kutakuwa na mito na sitaweza kuvuka

Sio kila ombi litajibiwa nipendavyo

Sio kila wimbo utakaotuliza moyo

Nimekupata, nina mtetezi

Unionyeshe njia zako

Nikujue

Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke

Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote

Wema wako unisindikize Hadi tamati

Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo Ninachoomba kaa nami

Ikiwa nimepata neema kwako

Kumbuka hayo mema niwaombeayo wanaonifurahia

Maadui zangu nao, uwape kukujua

Uwabaliriki kwa utele uwanyeshee mvua

Yamkini watapata kuona

Wapumue upendo

Tunaoshiriki hii huduma

Uwape uamsho

Uwabaliriki kwa utele

Baba wala-hi-sishie

Tunaoshiriki hii huduma

Uwape uamsho

Uwabaliriki kwa utele

Baba wala-hi-sishie

Kumbuka hayo mema niwaombeayo wanaonifurahia

Maadui zangu nao, uwape kukujua

Uwabaliriki kwa utele uwanyeshee mvua

Yamkini watapata kuona

Wapumue upendo

Tunaoshiriki hii huduma

Uwape uamsho

Uwabaliriki kwa utele

Baba wala-hi-sishie

Tunaoshiriki hii huduma

Uwape uamsho

Uwabaliriki kwa utele

Baba wala-hi-sishie

Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke

Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote

Wema wako unisindikize Hadi tamati

Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo Ninachoomba kaa nami

Ikiwa nimepata neema kwako

Ikiwa nimepata neema kwako, unikumbuke

Jicho lako liwe juu yangu nyakati zote

Wema wako unisindikize Hadi tamati

Hili ni ombi langu, nakumwagia moyo Ninachoomba kaa nami

Ikiwa nimepata neema kwako

Kwa maswali na majibu

Umasikini utajiri, usumbufu utulivu

Ewee Mwokozi kaa nami

Kwa kupanda kwa kushuka

Habari za kuvunja moyo

Kwa uzushi na uongo

Ewee Mwokozi kaa name

Kwa maswali na majibu

Umasikini utajiri, usumbufu utulivu

Ewee Mwokozi kaa nami

Kwa kupanda kwa kushuka

Habari za kuvunja moyo

Kwa uzushi na uongo

Ewee Mwokozi kaa nami

Ecouter

A Propos de "Kaa Nami"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2024
Copyright : ©12stonesRecord
Ajouté par : Farida
Published : Oct 09 , 2024

Plus de Lyrics de ISRAEL MBONYI

ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI
ISRAEL MBONYI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl