Paroles de Stingo Par EXRAY


Mmmmh taniua!
(Ni Mali safi on the beat)

Niko ngwati za mia khalifa
Ju huyu dem ameshinda kabisa
Anataka hadi kwa Nissan
Akipupu ati ndani ya kanisa

Anataka mastingo (Ooooh)
Stingo stingo stingo
Akibend ni mastingo (Uuuh ooh)
Stingo stingo stingo

Mi mama yangu hakunizaa
Nikuje niteseke hivyo
Nikufe sababu ya mastingo
Amechoka unataka kumweka 
Na Cobra style, Helicopter 
(Stingo)

Twende left right
Na kwani we ni msanii unataka mic yoh
Twende hii side
Staki ya doggy nataka bite

Akinipea leo ni ma baboon
Na ati ooh ooh ah ah..
Nianze kigugumizi leo 
Ati gugu gagaga...

Leo ni kamote anataka za mkamba
Anataka nimkate nakuja na panga
Dudu manyoya utawashwa na njwanga
Ka ni manyanga nakuwa makanga

Leo kuku inakulwa na kanga
Hadi outdoor anapenda veranda
Ngoma ni banger ju mchuma inakaanga
Chang'aa inafanya nateka machwara

Kwa kibanda nilibonda na kigomba
Meditation anaskiza tu madoba 
Mboka so kakitaka ndizi nampea magomba
Donga nifanye kigwegwe ka Omari nitagamble
Royal, bibi harusi leo niko rumble

Leo niko ngwati za Mia Khalifa
Ju huyu dem ameshinda kabisa
Anataka hadi kwa Nissan
Akipupu ati ndani ya kanisa

Anataka mastingo (Ooooh)
Stingo stingo stingo
Akibend ni mastingo (Uuuh ooh)
Stingo stingo stingo

Mi mama yangu hakunizaa
Nikuje niteseke hivyo
Nikufe sababu ya mastingo
Amechoka unataka kumweka 
Na Cobra style, Helicopter 
(Stingo)

Baby ebu come show dem 
Shock dem, bang dem
Leo ni kutwerk za galdem
Warn dem, kill dem

Si anataka helicopter
Wacha nianze na chopper oka inda
Sitaki za ocha wacha ujinga
Ukianza nitafocus uache kuringa

Smile and pause unichangie mastylo
Angle ya dhambi kwani we ni shaito
Ah ki Sho Madjozi namfanyia makwaito
Attention madam  

Njoti zikiisha nachana na gum
Ukiacha umbleina napita na gun 
Na ka we ni wa street mi nakuja na gang
Ka we ni wa tire nafika naburn

Vutia virgin mi nakuja hapa I swear dat
Nikichapa sana you can pass toward dat
Ka we ni wa joto wakisha ki fan
Sihitaji mafan ndo nizime kubang

Leo niko ngwati za Mia Khalifa
Ju huyu dem ameshinda kabisa
Anataka hadi kwa Nissan
Akipupu ati ndani ya kanisa

Anataka mastingo (Ooooh)
Stingo stingo stingo
Akibend ni mastingo (Uuuh ooh)
Stingo stingo stingo

Mi mama yangu hakunizaa
Nikuje niteseke hivyo
Nikufe sababu ya mastingo
Amechoka unataka kumweka 
Na Cobra style, Helicopter 
(Stingo)

(Ni Mali safi on the beat)

Ecouter

A Propos de "Stingo"

Album : Stingo (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jul 24 , 2020

Plus de Lyrics de EXRAY

EXRAY
EXRAY
EXRAY

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl