ESIR Kamata cover image

Paroles de Kamata

Paroles de Kamata Par ESIR


Ogopa Police Station presents
Inspector E-Sir and Lenny
Uh, tumekuja kuwashika!
Tumekuja kuwashika!
Hallo, mko wapi wadada?
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
 (Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
 
Nipe mic, maji na mafuta
Kibiriti, nipate kuwachemsha
Speaker mbili, tupate kuwaamsha
Ili na mic tupate kuwachoma
Kisha wapate kucheza hizo ngoma
Kwa sababu kila mtu anajua hakuna traki
Ambayo inagonga kama traki ya Ogopa
(Boom-ba, boom-ba, boom-ba)
 
Basi weka mkono kwenye kiuno
Na usawanishe sawa na mdundo
Peleka nyuma, rudisha mbele
Sote tupige makelele
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
 
[Verse 2: Lenny]
Tunaposhika mic twasema tena tuna flow
Pamoja basi sasa tunacheza hizo songs
Wajameni kujeni mskie hii flow
 
Basi weka mkono kwenye kiuno
Na usawanishe sawa na mdundo
Peleka nyuma, rudisha mbele
Sote tupige makelele
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
Tulienda mbali
Tukarudi tena
Na tuliporudi wanawika
(Hakuna show ka Ogopa show)
Tulienda mbali
Tukarudi tena
Na tuliporudi wanawika
(Hakuna show ka Ogopa show)
 
Huu mwaka
Ka moto, tutawaka
Na wote walioongea taka taka
Bila shaka, wata (Shh!)
Huu mwaka
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)

Ecouter

A Propos de "Kamata"

Album : Kamata (Single)
Année de Sortie : 0
Ajouté par : Ernest Kabiro
Published : Mar 08 , 2021

Plus de Lyrics de ESIR

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl