DAVID WONDER Najua cover image

Paroles de Najua

Paroles de Najua Par DAVID WONDER


Baraka zako
Kweli me nimejionea
Na mkono wako
Kutwa kucha umeninyoshea
Mimi ni wako
Tena mimi sitapotea
Na neno lako
Moyoni nimejiwekea
Wakati me sikuwa na kitu Baba (ulinishikilia)
Wakati me sikuwa na kitu Baba

Ndio me nataka nikilala (nakuona tu Baba)
Eeehh na nikiamka (nakuona tu Baba)
Na me nataka nikitembea (nakuona tu Baba)
Eeehh na nikiongea
Kwani najua (najua)
Najua (najua)
Umenishika kwenye mikono (mikono ooh)
Najua (najua)
Najua (najua)
Umenishika mimi ni wako (ni wako ooh)
Ni wako ooooooh

Oh Yesu
Usinitoe kwenye yako mipango
Bila wewe sina mwisho na mwanzo ooh
Ona, ona aah
Siwezi tena kujificha
Kwangu ndio unabisha
Nakukaribisha ooh
Na me nataka nikiomba (nakuona tu Baba)
Na nikiimba (nakuona tu Baba)
Eeh na nikiwa nawe Daddy (nakuona tu Baba)
Uwe pamoja nami oohh oohh
Kwani najua (najua)
Najua (najua)
Umenishika kwenye mikono (mikono ooh)
Najua (najua)
Najua (najua)
Umenishika mimi ni wako (ni wako ooh)

Ooooh weeh
Ooooh weeh
Ooooh weeh
Ooooh weeh
Ooooh weeh
Ooooh weeh
Oooh najuaaaaaaa
Najuaaaa
Ooooh weeh

Ecouter

A Propos de "Najua"

Album : Najua (Single)
Année de Sortie : 2020
Ajouté par : Farida
Published : Jul 31 , 2020

Plus de Lyrics de DAVID WONDER

DAVID WONDER
DAVID WONDER
DAVID WONDER
DAVID WONDER

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl