MAJIRANI Chepukati cover image

Paroles de Chepukati

Paroles de Chepukati Par MAJIRANI


Candy n Candy!
Uuuu...uuuuuuu
Mavo yaani majirani ametujoin aki
Eeh kujeni tufukuze hao mambleina aki
Yaani chepukati, wakwende!
Hii unaeza chomoa nayo mark bana oka! 

(Mavo on the Beat)

Mi ni simba tena sio ndama
Nimekuwa nikiwaandama 
Muda mwingi nikiwatazama
Zigo boring tena za fanana

Nguo baggy tena za kimbleina
Uatani je utawezana?
Mimi baba tena baba Etana
Baba tena baba ya Etana

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Stepping stepping nastep nikiringa
Juu ya looku fine ndula ni Adidas
Tukimuok de jua watabuya
Hii ni sailors mbogi ya wajanja

KRG uliskia wapi dinga
Tunadai ship kam na mizinga
Mi napenda bomb bomb tukiparty
Mi nasaka nitapata, nizipate nipate

Kupeleka mama tu maparty
Ale pizza na makuku 
Leta baze ni mamate
Kisha bomb bomb bomb ndio nijikate

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Ngoja ngoja, ngoja ngoja
Ngoja ngoja, ngoja ngoja
Ati buda niliskia 
Unasema si tunakudare

Usenge ni usenge 
Usituletee ujinga ni uburukenge
Na madenge ni madenge
Na maboy washikana wawape miti

Ah usenge ni usenge 
Usituletee ujinga ni uburukenge
Na madenge ni madenge
Na maboy washikana wawape miti

Nimejiblock ndio maana unaona nikipuke
Acha niite Betty ju dame amebeat


So fine ka mat za Ong'ata 
Tunachafua mpaka disco matanga
Yesu akirudi atapata kameshika
Niko na miracle tunafanya miujiza

Long time nimerudi na sibishi
Industry niko official bila suti
Mbogi ya sailors tunajua kametiki
Wachokeshe ka updates za Mutahi

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Hapa ni wapi tumezungukwa na mangoko
Na pia KFC si hukulanga tu mangoko
Hapa ni wapi tumezungukwa na masonko
Ju si kusota itakuwa tu ni mathongo

Club kuchondoka itakuwa ni mathongo 
Woii woii itakuwa ni mathongo
Club kuchondoka itakuwa ni mathongo 
Woii woii itakuwa ni mathongo

Narobi eeh (Eeh) Nairobi aaah (Aah)
Narobi eeh (Eeh) Nairobi aaah (Aah)

Nina form so inabidi muijaze
Kameshika niko jaba hadi ngware
Mna vitisho mambwe mbwe kelele
So bazu nimefika mkalale

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)
Eeeh Chepukati (Ehh Chepukati)

Mnasemanga akoko ni wazimu
Mi wazimu wa mawazimu skiza
Ni hii kitu imefanyika juu ya Nara
Nara aah, nara weee

Ecouter

A Propos de "Chepukati"

Album : Chepukati (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020 MRX Media.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Sep 15 , 2020

Plus de Lyrics de MAJIRANI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl