Paroles de Mama Par DOGO JANJA


Kama isingekuwa wewe mama
Maisha yangu yasingekuwepo
Kama isingekuwa wewe mama
Maisha yangu yasingekuwepo

We ndo ishara ya ushindi mama
Umenilea kwa misingi mama
Miezi tisa tumboni uko nami
Kwenye mvua na jua uko nami
Usiku wa kulala ukakesha uko nami
Ukalala njaa ukashiba uko nami

Nakuomba Mungu baba tazama (pekee yake pekee)
Umlinde usiku mchana wangu mama (Akulinde nawe mwanangu)
Aliyekupenda kila jua likizama
Akikupenda mama pekee ni karama 

Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama

Fanya kazi kwa bidii mwanangu
Unitunze mama yako mwanangu
Saidia kila mtu mwanangu
Mungu akupee imani mwanangu

Ooh mwanangu jaribu 
Kutofautisha wabaya na wema
Hakuna wa kukuhangaisha
Hata kama wanasema 

Umtunze baba yako
Uwalee ndugu zako
Wapende jirani zako
Uzipate radhi zako

Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama
Aaah aah mamaa, mama

Khadija Kopa na Mwanawe ndogo Janja eeh

Ecouter

A Propos de "Mama"

Album : Asante Mama (Album)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021 MMB (Manzese Music Baby)
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : May 29 , 2021

Plus de lyrics de l'album Asante Mama

Plus de Lyrics de DOGO JANJA

DOGO JANJA
DOGO JANJA
DOGO JANJA
DOGO JANJA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl