...

Paroles de Mimi Par DAYOO


Nawaza mbali traxx

Na si eti again

Mmh

mmmmh mmmh mmh

Ooooh oooh oooh

Aaaah aaaah

Eti wanaulizana mbona siku izi nanenepa

Wameanza kuulizana baby mbona siku izi natakata

Nimewaambia nishampata wa kunidekeza kujiali

sasa hivi bila kubembelezwa usiku silali

Yangu thamani ameiongeza wa ghali

Sio yule wa kunisema wakunibeza dotto magari

Sijui ni mimi tu au kuna wengine

Wanaopewa izi raha kama navyo pewa mimi

Sijui ni mimi tuu

Au kuna wemgine

Wanaodekezwa ka navyo dekezwa mimi

Sijui ni mimi tuu

Au kuna wemgine

Wanaodekezwa ka navyo dekezwa mimi

Oooh no

Mmmh mmmh mmmh

Mmmh mmh

Kama mahaba ndo hivii

Nipelekwe milembe nishakua chizi

Sio mtu wa waganga vihirizi hirizi

Amezizidisha dua mpaka nimekua chizi

Mmh

Alafu si eti my dear

Unanipenda nakupenda pia

Unikiacha mwenzako nitalia kama mtoto

Ooooh ooooh

Wanatupakazia unipendi unanichezea

Umekuja kunitumia uende zako

Nakiri kwako baby ukienda mbali na mimi nakosa raha

Sio vitamin hivi mmmh nanenepa tu kwa makopa

Mi ndo mwenzenu nawaza aaaah

Ijui ni mimi tu au kuna wengine

Wanaopewa izi raha kama navyo pewa mimi

Sijui ni mimi tuu

Au kuna wemgine

Wanaodekezwa ka navyo dekezwa mimi

Ecouter

A Propos de "Mimi"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2025
Copyright :
Ajouté par : Farida
Published : Jul 02 , 2025

Plus de Lyrics de DAYOO

DAYOO
DAYOO
DAYOO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl