Paroles de Utarudi Par CHEGE


[VERSE 1]
Kuwa na heshima
na ustaraabu
Ficha makucha yako
Kuwa na adaabu
Mafunzo ya mama
ndio lako jawaabu
Tumia kama kinga
usi yadharaauuuuuu

Wala ndoa sio jela
Sio jela
Una kwepa ukapeela
Ukapela
Wala ndoa sio jeelaa
Sio jelaaa
Una kwepa ukapelaa
Ukapela
Wengine wanakosaga ndoa
Kwa tabia chafuuu
Binti tulia na mumeo
Baridi baarafuuu

[CHORUS]
Aiya iya umeolewa
utarudi nyumbani kutembea
Aiya iya umeolewaa
Umeoleewa
Aiya iya umeolewa
Utarudi nyumbani kutembea
Aiya iya umeolewaa
Umeoleewa
Kwaheri baba na mama
Kuonana majaliwa
Aiya iya umeolewa
Umeolewa
Kwaheri ndugu zangu kuonana majaliwa
Aiya iya umeoleewa umeoleewa

[VERSE 2]
Wameshikana mikoono
Wamesimama
Wakina mama wale
Wakina baba wale
Nawaona wajomba wale
Mashangazi  wale
Wanapiga vigere gere kwa furaha
Aaaaaaah
Zawadi za kumwaga wana mwaga
Aaaaah
Ukiwa kwako kuwa mvumiliivu
Rafiki yako awe mume wako
Uuuuuu uuuu uuuuu
Maisha yako sasa ni yakwakee
Watoka kwenu leo waenda kwakoo
Uuuu uuuu uuuu

[CHORUS]
Aiya iya umeolewa
Utarudi nyumbani kutembea
Aiya iya umeoleewa umeoleewa
Aiya iya umeoolewa
Utarudi nyumbani kutembea
Aiya iya umeoleewa umeolewa
Kwaheri baba na mama kuonana majaliwa
Aiya iya umeolewa umeolewa
Kwaheri ndugu zangu kuonana majaliwa
Aiya iya umeolewa umeoleewa

[BRIDGE]
Aye aye aye aye
Aye aye aye aye

Wameshikana mikoono......
Wamesimama.....
Wameshikana mikoono......
Wamesimama......
Wazazi wanalia kwa furaha
Wazazi wanalia kwa furaha
Leo ni furahaaa
Uuuu uuuu uuuuu
Uuuu uuuu uuuuu

 

Ecouter

A Propos de "Utarudi "

Album : Utarudi (Single)
Année de Sortie : 2018
Ajouté par : Afrika Lyrics
Published : Dec 09 , 2018

Plus de Lyrics de CHEGE

CHEGE
CHEGE
CHEGE
CHEGE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl