Paroles de Ndoa Par BRIGHT


Wanangu vipi baba mbona kimya baba
Uliahidi jambo mbona kimya baba
Mambo ya ndoa umefikia wapi baba
Mambo ya ndoa umekwama wapi niambie

Nimezunguka dunia mzima
Dunia kiganja baba, nimeyaona mengi
Ya walimwengu wanasema
Bora uchague mpenzi, tofauti na enzi

Wanafanana kwa sura matendo baba nko hoi eeh
Unayempenda na kumwaza anamwaza meingine
Bila pesa umaarufu mwonekano baba we hung'oi eeh
Na kwa dunia ya sasa, nioe wapi pengine

Dunia hadaa hilo baba utambue
Muda unaenda hilo uzingatie
Mweke Maulana mbele mambo yatimie
Dhamira yako ya kweli, nayo ajalie

Baba ooh baba ooh, daddy ooh(Baba)
Najua una hamu sana, mwana
Ndoa ooh, ndoa oooh, ndoa oooh
Ya mi mwanao kuiona

Kaza roho, kaza roho 
Dua njema atajibu Maulana
Mke mwema aaah
Atakuja baba

Ayee, ndoa eeh(Nuia baba)
Sijamuona wa kuoa eeeh(Utaoa mwanangu)
Ayee, ndoa eeh(Nuia baba)
Sijamuona wa kuoa eeeh

Ng'aa tena dafaradhi
Kumhalalisha mwanangu
Kwangu mimi ni heshima 
Nikimwona mkwe wangu

Kudanga danga si kwema
Kwa leta laana mwanangu
Leo Ali kesho Juma
Hebu tuzao twangu

Mama wakitongoza 
Wanataka kuvua na nguo
Ah tumejuana leo
Anataka kuvua na nguo eeh

Wanaume wa sasa 
Suruali kushuka eeh
Mama niombee kwa Mungu 
Nipate mwema niweze sitirika

Leta mjukuu nimwoe
Aje anikojolee
Ooooh, ooooh

Mama ooh mama ooh, mama ooh
Najua una hamu sana
Ndoa ooh, ndoa oooh, ndoa oooh
Ya mi mwanao kuiona

Kaza roho, kaza roho 
Dua njema atajibu Maulana
Mume mwema aaah
Atakuja tu mama

Ayee, ndoa eeh(Nuia mwana aah)
Sijamuona wa kunioa eeeh
Ayee, ndoa eeh
Sijamuona wa kunioa 
Sijamuona wa kunioa eeeh

(I say mama ma, mama...)
Ayee, ndoa eeh
Sijamuona wa kunioa 
Sijamuona wa kunioa eeeh

Utampata baba ano kuridhia
Nataka nicheze eeh, mwanangu
Siku hiyo wanione eeh, mwanangu eeh
Nikate, nikate, kwa furaha yangu wee eeh

Ecouter

A Propos de "Ndoa"

Album : Ndoa (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Feb 03 , 2020

Plus de Lyrics de BRIGHT

BRIGHT
BRIGHT
BRIGHT
BRIGHT

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl