
Paroles de Kuna Nini
Paroles de Kuna Nini Par BRIGHT
[CHORUS: Bright & Nini]
Walisema hatuendani, hatuendani
Kuna nini leo?
Yangu ndege we ndo rubani wa ubani
Kuna nini leo?
Walisema hatuendani, hatuendani
Kuna nini leo?
Yangu ndege we ndo rubani wa ubani
Kuna nini leo?
Panda nkubebe
Wewe kama mtoto simama dede
Kwenye penzi lako mi ni bwege
Kwako nimelewa mchaga mrege ; aiye
[VERSE 1 : NINI]
'Navyo kupenda najiona mkumbavu
Nanenepa kwako natoka shavu
We ndo wangu...
Nakupenda hivyo hivyo
Shida zako shida zangu mpenzi wangu
Ukipata matatizo
Penzi lako ntalilinda mzee mwezangu
Baby love you (aah eeh)
Cuz love you (aah eeh)
Baby love you (aah eeh)
Cuz love you
[CHORUS : BRIGHT & NINI]
Walisema hatuendani, hatuendani
Kuna nini leo?
Yangu ndege we ndo rubani wa ubani
Kuna nini leo?
Walisema hatuendani, hatuendani
Kuna nini leo?
Yangu ndege we ndo rubani wa ubani
Kuna nini leo?
Panda nkubebe
Wewe kama mtoto simama dede,
Kwenye penzi lako mi ni bwege
Kwako nimelewa mchaga mrege. Aiye
[VERSE 2 : BRIGHT]
Yaani kweli umenibamba
Muhimu kama maji kwenye jangwa
Kwenye kiti mashetani yamepanda
Ntakufa kishujaa na magwanda(gwanda)
Utanipa nini nikuache eeeh
Kwa raha na shida nikufwate
Ukihisi baridi nikumbate eeeh
Nikikukosea usiniache mmmh
Tufanane kama pair (ooh mama)
Usijali wanayo ongea (ooh mama)
Neno neno ya umbea (ooh mama)
Macho funika pazia (ooh mama)
[NINI]
Baby love you (aah eeh)
CUz love you (aah eeh)
Baby love you (aah eeh)
CUz love you
[CHORUS ]
Walisema hatuendani, hatuendani
Kuna nini leo?
Yangu ndege we ndo rubani wa ubani
Kuna nini leo?
Walisema hatuendani, hatuendani
Kuna nini leo?
Yangu ndege we ndo rubani wa ubani
Kuna nini leo?
Panda nkubebe
Wewe kama mtoto simama dede
Kwenye penzi lako mi ni bwege
Kwako nimelewa mchaga mrege ; Aiye
[OUTRO]
(Aiyo Awesome)
Wewe kama mtoto simama dede,
Baby love you
Kwako nimelewa mchaga merge aiye
(Free Nation)
Ecouter
A Propos de "Kuna Nini"
Plus de Lyrics de BRIGHT
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl