
Paroles de Nikatoke Nao
...
Paroles de Nikatoke Nao Par BARAKAH THE PRINCE
Ya nini unipande kichwani baby ya nini ooh
Ya nini unilazimishe na sina nilichokifanya mimi
Mwili sexy burudani kwa mwanaume sikatai burudani
Mbona nje sitamani niwe naye kupenda wapaswa kunia mini
Why why unilazimishe unilazimishe kuninyima na Amani ndani
Ata zikipigwa calls za madada unadai michepuko yani
Kwanini unaforce nikubaliane na wewe
Hayo unayoyasema nisha yaacha muda
Na hunipi nafasi unaongea mwenyewe
Hayo unayoyasema nisha yaacha muda
Baby oooh shida nini
Au nikatoke nao ndio ufurahie nikatoke nao
My baby please focus
Wapi kwani unakwama maana unvyoviwaza siviwazi kuvifanya
Maana you don’t care
Wazingua papana venye unavyowaza yapaswa uwaze msichana
We ni wife material one in a million
Hawaning’oi hata waje na millions
The love iko real sio video
I know that so ata hakuna maigizo
Hata kipofu hangekupinga
Na mi mwanao nairinga
Nishakua wako baby ringa
Ujinga siwezi kutenda
Najua unahisi ni pisi kazi
Napoelekea fukuzwa kazi baby iko wazi
Nakuweka wazi
Najua unahisi ni pisi kazi
Napoelekea fukuzwa kazi baby iko wazi
Nakuweka wazi
Au nikatoke nao ndio ufurahie nikatoke nao oooh
Nikatoke nao ndio ufarihie nikatoke nao nikatoke nao oooh
Najua unahisi ni pisi kazi
Napoelekea fukuzwa kazi baby iko wazi
Nakuweka wazi
Ecouter
A Propos de "Nikatoke Nao"
Plus de Lyrics de BARAKAH THE PRINCE
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl