...

Sitaki Lyrics by FOUNDER TZ


Olaaaa

Eyo trone

Staki founder staki mie

Staki founder staki mie

Leo nina story me nataka niwanbie

Hadithi hadithi niwa simulie

Ninayo mengi ma nataka msikie

Hadithi hadithi niwa simulie

Leo nilikua zangu mishe nime choka

Akaja mdada fulani anaitwa hanifa

Yule mnae mjua mtaani kwamisifa

Ila alicho kisema leo

Ninashindwa ata kuadithia

Hadithi njoo njooo utamu kolea

Dogo tupe hiyo stori kama imeanza kukolea

Bado na waza vishawishi vinanielemeya

Nilivyo kinda na mazito aliyo nambia siwezi

Eti anaipenda me

Kumbe ananitaka

Kasema ananiwaza me

Moyo wangu umesha kataa

Eti anaipenda me

Kumbe ananitaka

Kasema ananiwaza me

Moyo wangu umesha kataa

Bado nawaza yooo

Nita yaweza wapi hayooo

Maana umri wangu bado mdogooooh

Ila kaniahidi vitu vingiyoooh

Eti majumba magari

Ukikubali nitakupa range rover gari

Aku sitaki

Nita yawezea wapi mishangingi yaleo

Nitaweza wapi hayo mambo ya video

Hadithi njoo njooo utamu kolea

Dogo tupe hiyo stori kama imeanza kukolea

Bado na waza vishawishi vinanielemeya

Nilivyo kinda na mazito aliyo nambia siwezi

Eti anaipenda me

Kumbe ananitaka

Kasema ananiwaza me

Moyo wangu umesha kataa

Eti anaipenda me

Kumbe ananitaka

Kasema ananiwaza me

Moyo wangu umesha kataa

Watch Video

About Sitaki

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : ©2024 Ziiki Media All rights reserved.
Added By : Farida
Published : May 16 , 2025

More FOUNDER TZ Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl