Bambam Lyrics by FID Q


 

Unanipa raha usiache nipa raha, leta raha

Unamfikisha hadi Zanzibar shamba
Umevimbisha kichwa cha jimake cha nanga
Soma picha picha wazi umejipanga
Hupendi feature feature mzazi nimesanda

Hauniuzii mbuzi kwa gunia (nie)
Haunimei juzi umenizidai (dia)
Wema mie fundi naujulia (lia)
Hautumii nikawa na gundi unanipatia

Mmmh hakika umenifaa
Siwezi pita mie nitakaa
Na ukiniita bebi mimi najaa
Siwezi bisha nitawa kichaaa

Mimi nimeona wengi 
Ila me kwako nimefika wewe
Mie kwako sijiwezi 
Lako penzi dawa yangu beiby

Mimi na wewe dam dam, dam dam
Mimi na wewe dam dam 
Mimi na wewe dam dam
Mambo yetu bam bam

Mimi na wewe dam dam, (mimi na wewe)
Mimi na wewe dam dam 
Mimi na wewe dam dam
Mambo yetu bam bam

Ni kama Rambo na Julieti (na Julieti), mi na wee
Mficha siri zangu nyeti (zangu nyeti), wakunyumba wee
Hodari wa mapenzi (aaah) jicho nusu mwezi ukinyuta
Si kigundu mtembezi, kutoshinda ndani ameng'ona
Kidudu mapenzi kweli, nani ananinyevua
Aah mapenzi ya kweli, kwako ndo nimeyajua eeh

Mimi nimeona wengi 
Ila me kwako nimefika wewe
Me kwako sijiwezi 
Lako penzi dawa yangu beiby

Mimi na wewe dam dam, dam dam
mimi na wewe dam dam 
mimi na wewe dam dam
mambo yetu bam bam

Mimi na wewe dam dam, (mimi na wewe)
Mimi na wewe dam dam 
Mimi na wewe dam dam
Mambo yetu bam bam

Ninachokupendea huna makeka, huna papara (aaaah)
Unanipa raha usiache nipa raha, leta raha (aaaah)
Ninachokupendea huna makeka, huna papara (aaaah)
Unanipa raha usiache nipa raha, leta raha (aaaah)

Unanipa raha kunakuzi
Hauna njaa tamaa hauna makuzi
Unanifahamu mama umekaa ka uchuji
Ungenikataa ningekaza uzi

Kabisa kwako nimefika mambo ni bam bam
Kakika kila ukiniita mimi nakam kam
na napo itika wazo umeshika hela jam jam
Na kwa sifa nalipachisha kwa zam zam

Isitoshe hauniboi haunichoshi
Vipi nikose kuenjoy na hapatoshi
Bosi we binti vichungu haunilishi
Na sisi si wavumbua jumbu ila ni wapishi

Mimi na wewe dam dam, dam dam
Mimi na wewe dam dam 
Mimi na wewe dam dam
Mambo yetu bam bam

Mimi na wewe dam dam, (mimi na wewe)
Mimi na wewe dam dam 
Mimi na wewe dam dam
Mambo yetu bam bam

Unanipa raha usiache nipa raha, leta raha

Watch Video

About Bambam

Album : (Single)
Release Year : 2019
Copyright : No copyright Information
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 02 , 2019

More FID Q Lyrics

FID Q
FID Q
FID Q

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl