Uko Poa Lyrics by ETHAN MUZIKI


Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee
Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee

I did not believe that it would end no
Nilifikiri yetu special
You're not even talking to my friends though
Mbona kila saa ni kama tunawachana
Day ya kwanza kuna fire kila time na
Siku hizi kukuona kuna line
Used to keep my picture posted by your bedside
Now it's in your dressed with the socks you don't like

Sijafika mahali ntakuacha kwani
Ningelipa mahari ulishaniwai
Nakujulia hali kunilenga haifai
Na nimeona

Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee
Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee

Na mimi nataka tu kukuona
Siku zimepita lakini ninakuota
Tell me is there something inside the water
Ama hizi ni mashetani zinanifwata
Na juzi mama fua uliza
Uko wapi kwani nilikukimbiza
Juu shati zako tena hazionekani
Nikadanganya uko shule amerekani

Sijafika mahali ntakuacha kwani
Ningelipa mahari ulishaniwai
Nakujulia hali kunilenga haifai
Na nimeona

Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee
Labda unafikiri uko poa saa hii
Eti vile hauko na mi
Sikutaka kukueka chini
Ningekupa kula kitu wee

Hau...vile hauko na mi'
Ningekupa kila kitu

Watch Video

About Uko Poa

Album : Uko Poa (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Apr 22 , 2022

More ETHAN MUZIKI Lyrics

ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl