Kamata Lyrics by ESIR


Ogopa Police Station presents
Inspector E-Sir and Lenny
Uh, tumekuja kuwashika!
Tumekuja kuwashika!
Hallo, mko wapi wadada?
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
 (Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
 
Nipe mic, maji na mafuta
Kibiriti, nipate kuwachemsha
Speaker mbili, tupate kuwaamsha
Ili na mic tupate kuwachoma
Kisha wapate kucheza hizo ngoma
Kwa sababu kila mtu anajua hakuna traki
Ambayo inagonga kama traki ya Ogopa
(Boom-ba, boom-ba, boom-ba)
 
Basi weka mkono kwenye kiuno
Na usawanishe sawa na mdundo
Peleka nyuma, rudisha mbele
Sote tupige makelele
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
 
[Verse 2: Lenny]
Tunaposhika mic twasema tena tuna flow
Pamoja basi sasa tunacheza hizo songs
Wajameni kujeni mskie hii flow
 
Basi weka mkono kwenye kiuno
Na usawanishe sawa na mdundo
Peleka nyuma, rudisha mbele
Sote tupige makelele
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
Tulienda mbali
Tukarudi tena
Na tuliporudi wanawika
(Hakuna show ka Ogopa show)
Tulienda mbali
Tukarudi tena
Na tuliporudi wanawika
(Hakuna show ka Ogopa show)
 
Huu mwaka
Ka moto, tutawaka
Na wote walioongea taka taka
Bila shaka, wata (Shh!)
Huu mwaka
 
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mamanzi (Ay!)
Mko sexy (A-la!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
Mabeshte mko poa? (Tuko poa!)
Mko freshi? (Tuko freshi!)
Mko tayari kuienda traki nasi?
 
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Ha!) Kamata
(Wako, wako)

Watch Video

About Kamata

Album : Kamata (Single)
Release Year : 0
Added By : Ernest Kabiro
Published : Mar 08 , 2021

More ESIR Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl