...

Ungewezaje Lyrics by Dogo Paten


Ju ya daji nilipanda nilishuka

Kama sina nilikopa

Yote nilifanya ni ya kumridhisha

Sikujali kuchoka ili apate anachotaka

Yarabi Mola leo nadhalilika nadhalilika

Kuna muda napanda tupu yani kuna muda napanda maganda

Kuna muda ananikosea ananikaripia na najishusha

Kuna muda hata tukiwa ndani ananinyima kile ninachotaka

Ananifanya nalipata penzi kwa kubaka

Nimevumilia mengi

Kwenye mapenzi

Ila jambo la kucheat ndio lilo nitoa machozi

Ungewezaje

Anakuona bwege

Ungewezaje

Anakuona bwege

Ungewezaje

Anakuona bwege

Kama mapenzi yangekua pesa kitambo nishatuma muamala

Kama mapenzi yangekua pesa za risasi ningetoka kwa manara

Kama mapenzi yangekua uchizi kitambo nishakua fala

Mapenzi

Kuna muda natamanigi ata kua single

Kuna muda natamanigi kuku handle mama

Kuna muda natamanigi kunywa sumu kwa ajili yako

Kuna muda napanda tupu yani kuna muda napanda maganda

Kuna muda ananikosea ananikaripia na ninajishusha

Kuna muda ata tukiwa ndani ananinyima kile nacho taka

Ananifanya nalipata penzi kwa kubaka

Nimevumilia mengi kwenye mapenzi

Ila jambo la kuacheat lilo nitoa machozi

Ungewezaje

Anakuona bwege

Ungewezaje

Anakuona bwege

Ungewezaje

Anakuona bwege

Ungewezaje

Anakuona bwege

Watch Video

About Ungewezaje

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 13 , 2025

More Dogo Paten Lyrics

Dogo Paten

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl