
Mimi na Wewe Lyrics
...
Mimi na Wewe Lyrics by Disamoo
Sina habari na weweeeh
Nasema sina story na weeeh
Kamwe sina chakuongea na weweeeh
Mapenzi yetu ukakata shina
Eti siendani na weweeeeeh
Sawa unanipenda
Na me nishapendwa
Nafasi niliokupaga ulisha ichezea
Ulisema sitopendwa tena mbona nishapendwa
Sasaiv sipewi makorokoro kama yako nishatema
Me na weeeeh
Tushachana mi nawe
Me na weeeeh
Tushachana mi nawe
Me na weeeeh
Tushachana mi nawe
Me na weeeeh
Tushachana mi nawe
Huyu wa sasa anajali anajali hanioni kama koloooo
Kitandani hodari hodori
Wabilinge bayoyo
Eeeeh nakupa poleee eeeh
We poleee kama kojo lishakubana kakojoe ukalale
Tena unikomee eeeh
Unikome kunitext asubh sipendi si uliniona mnyonge
Sawa unanipenda Na me nishapendwa
Nafasi niliokupaga ulisha ichezea
Ulisema sitopendwa tena mbona nishapendwa
Sasaiv sipewi makorokoro kama yako nishatema
Me na weeeeh
Tushachana mi nawe
Me na weeeeh
Tushachana mi nawe
Me na weeeeh
Tushachana mi nawe
Me na weeeeh
Tushachana mi nawe
Watch Video
About Mimi na Wewe
More Disamoo Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl