Chitaki Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


We ndo kitumbua, we ndo sambusa
Basi njoo unichumu baby ndio tuseme umesusa
We ndio mwisho wa reli kwako nimeweka nukta
Walokuambia nala zuchu sio kweli wanazusha

Wanaokaa vikao sisi kutujaji
Wape pole yao wanatwanga maji
Na waongeze bidii kwenye urogaji
Tuko ten GB penzi ful charge
Fanya wainamaa wainuka
Kiguu kinyanyue kama unatupa
Yani wainamaa wainuka
Kiguu kinyanyue kasha weka nukta

Mi kuachana na wewe
Aku chitaki chitaki
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki mi
Kuachana na wewe
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki mi

Mchana nikupe tango, usiku ndizi swadakta
Tuanze fanya mambo kabla umeme hawajakata
Mapenzi mwenzie kiwango na umejaaliwa talanta
Na unanijua kwa jambo
Hatoki mtu kwa mkapa ee aah
Amuli chichichi, amuli chachachacha
Kamoyo tititi nimeozaje sasa
Amuli chichichi, amuli chachachacha
Kamoyo tititi nakuacahje sasa

Wanaokaa vikao sisi kutujaji
Wape pole yao wanatwanga maji
Na waongeze bidii kwenye urogaji
Tuko ten GB penzi ful charge
Fanya wainamaa wainuka
Kiguu kinyanyue kama unatupa
Yani wainamaa wainuka
Kiguu kinyanyue kasha weka nukta

Mi kuachana na wewe
Aku chitaki chitaki
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki mi
Kuachana na wewe
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki
Chitaki chitaki mi

Watch Video

About Chitaki

Album : Chitaki (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Dec 23 , 2022

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl