DEZIAN Rere  (Katika) cover image

Rere (Katika) Lyrics

Rere (Katika) Lyrics by DEZIAN


Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye

Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave
Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave

Kwera kwera hapa hulengi mblein kama ni kwera
Hakuna story ya kata zimeshika juu ya mavela
Sina story ya feeling hapo ujue mi si Dela
Na ka ni ndwanga hapa bana ka ni njuang'a 

Gura ka ni chang'aa kama jo mchanga
Mchanga ju ni mchanga
Mmmh unatetema kakitamba
Utajua ma odi bana ni visanga

Mmmh tumteke kwa kitanda
Akiharibu sana buda si ni danda
Mmmh akisema ni NACADA
Juu ya mavela hapa si unajua baba

Mmmh utapigwa fimbo hadi Kimbo
Hadi ushike dimbo ju ya madiplo
Na ufinye finye uweke nginyo
Ni thobothe ndani hadi kifo

Akileta chingri nina biko
Na ujue bana hapa siko
Akisema bana ni mammito
Na matoy bana ni madildo

Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye

Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave
Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave

Ka ni form  nimejipin na kindom
Ni kingori unajua ni kia ngong
Niko rada na si Karamojong'
Niko club akidance kwa hii song

Mkuruweng' nikiburn niko mandom aah
Cheki vile tu ngeus amejipa
Tunasere hadi tu saa sita
Ako rieng' tu rada ya mapizza

Cheki vile nikiwasha ni ma iza
Cheki vile tu niko marizler
Niko moja ni saa sita
Wacha zako twende iza
Cheki buda ni ma idhaa
Vile nakam ni makiller
Si tequila nikikata
Ni ki ng'ang'o kia maridha 

Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye

Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave
Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave

Ujuzi pia ni talanta
Pita jo ukirudi tunakungoja
Mmmh msupa wako wa kwanza
Ka ukijua huyo ndo wangu wa saba

Mmmh mimi keja natoka getho gwai
Na mapesa za sadaka nilinyonya ngwai
Mmmh nani alisema ujana moshi 
Na mbona nikiwasha fagi murajeta muici

Mmmh tigana na fagi we Mwagi 
Naeza maka nimjaze kwa hizo matangi
Mmmh tigana na fagi we Mwagi 
Naeza maka nimjaze kwa hizo matangi

Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye
Nakatika naye, leo mi nakatika na yeye

Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave
Haya basi rererere re
Kila mtu rererere rave

Watch Video

About Rere (Katika)

Album : Rere (Katika) (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 13 , 2019

More DEZIAN Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl