Sorry Lyrics by BAHATI


Emb records
Mama mama lalelee
DK Kwenye beat na bahati tena

Niko na mengi masikireti
Niyatoeje kwenye kibeti
Sometimes naregreti
I am so sorry

Na, niko na mengi masikireti
mengine makubwa na mebgine petty
Na mengine mmewitnesi
Am so sorry

kabla niseme sana, baba nisikize
leo niko na bratha, anaitwa DK


Baba ulie juu mbinguni,najua unatazama
Mimi ni mwanako, mpendwa katika bwana
Naishi kwa bahari, mchanga uliozama
Kwa mbali naona vumbi, iliyohama
Na njaa ilitawala na tamaa ya ganji
Nafanya mradi kwa kivuli cha uchungaji
Nazini sana na upako wa kipaji
Gunia la dhambi na namvisha Yesu taji

Niko na mengi masikireti
Niyatoeje kwenye kibeti
Sometimes naregreti
I am so sorry

Na, niko na mengi masikireti
Mengine makubwa na mebgine petty
Na mengine mmewitnesi
Am so sorry


Sorry, sorry sorry, am sorry
Sorry, sorry sorry, am sorry

Cadre de contenu incorporé

 

Mama aliniambia, nikafanya kupuuzia
Leo najuta, nashindwa kusimulia
Kafiri hazaliwi, anajengwa na dunia
Kuna muda mtu mzuri, hutengwa na hatia

Nilicho na kini sana, nakumbuka
Nilizaliwa nyota upako kuruka
Nikasahau safari ya macho inafilisi duka
Ata mwenye roho safi akifa ananuka

Niko na mengi masikireti
Niyatoeje kwenye kibeti
Sometimes naregreti
I am so sorry

Na, niko na mengi masikireti
mengine makubwa na mebgine petty
Na mengine mmewitnesi
Am so sorry

(Shazbaro)

Lord of Lord, you're gracious
Sorry, am sorry
Compassion, slow to anger and of greatness
Am sorry!

Watch Video

About Sorry

Album : Sorry (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 07 , 2019

More BAHATI Lyrics

BAHATI
BAHATI
BAHATI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl