Adabu Lyrics by DETY DARBA


Hauna adabu , Hauna adabu
Hauna adabu , Hauna adabu
Hauna adabu , Hauna adabu

Why do you behave like that ?
Kwaninin hu control your ndomo?
Kwani wa ongeya ongeya
Ku ongeo ongeya tu
Wewe ni ndomo ndomo tu
Kupiga ndomo

I say why do you behave like that ?
Wa changanyisha hata nyumba Za watu
 Jameni mbona swali nyingi?
Kwani we ni polisi?
Yaani wewe wajuwa kila kitu
Tika bizala zala eh

Ozalakanayo impoli
Pona nini  ozalaka bongo
Ozalakanayo impoli
Pona nini  ozalaka bongo

Hauna adabu , Hauna adabu
Hauna adabu , Hauna adabu
Hauna adabu , Hauna adabu

Why ain’t you polite at all?
Kuingiya kwa watu na viatu
Ukivivuwa vinanuka
Wa tiya miguu mezani
Wasahau meza hiyo
Yatumiwa kwa chakula

Why ain’t you polite at all?
Officini za watu wasoma
Baruwa za watu
Officini umevuta sigara
Hiyo tabiya ni mbaya
We umefunzwa na nani ?
Hebu rehebisha!

Ozalakanayo impoli
Pona nini  ozalaka bongo
Ozalakanayo impoli
Pona nini  ozalaka bongo

Hauna adabu , Hauna adabu
Hauna adabu , Hauna adabu
Hauna adabu , Hauna adabu

Umefunzwa na nani?
Umefunzwa na nani?
Umefunzwa na nani?
Umefunzwa na nani?

Ozalaka nayo très impoli
Ozalaka nayo très impoli
Ozalaka nayo très impoli
Ozalaka nayo très impoli

Ozalakanayo impoli
Pona nini  ozalaka bongo
Ozalakanayo impoli
Pona nini  ozalaka bongo

Hauna adabu , Hauna adabu
Hauna adabu , Hauna adabu
Hauna adabu , Hauna adabu

 

Watch Video

About Adabu

Album : Adabu (Single)
Release Year : 2016
Added By : AfrikaLyrics
Published : Oct 24 , 2017

More DETY DARBA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl